Anahitajika msichana wa kazi za nyumbani

mamyake

Member
Jan 2, 2014
88
60
Nipo Dar, nahitaji msaidizi wa kazi za nyumbani wa kike ambae majukumu yake makuu yatakuwa kumhudumia mtoto wa miaka mitatu muda ambao nakuwa ofisini au nikisafiri kikazi: kumpikia mtoto, kumlisha, kumweka katika hali ya usafi na kumfulia nguo zake. Yupo binti mwingine ambae watakuwa wanasaidiana kufanya usafi wa nyumba kila siku asubuhi. Chakula,matibabu na malazi nitagharamia.
Vigezo:
Asizidi miaka 20
Awe mkristo
Ajue kusoma
Awe na bidii ya kazi
Mshahara:
100,000 kwa mwezi
Likizo: mara 1 kwa mwaka (mwezi wa 12)
Kwa mawasiliano zaidi niPM
 
Nipo Dar, nahitaji msaidizi wa kazi za nyumbani wa kike ambae majukumu yake makuu yatakuwa kumhudumia mtoto wa miaka mitatu muda ambao nakuwa ofisini au nikisafiri kikazi: kumpikia mtoto, kumlisha, kumweka katika hali ya usafi na kumfulia nguo zake. Yupo binti mwingine ambae watakuwa wanasaidiana kufanya usafi wa nyumba kila siku asubuhi. Chakula,matibabu na malazi nitagharamia.
Vigezo:
Asizidi miaka 20
Awe mkristo
Ajue kusoma
Awe na bidii ya kazi
Mshahara:
100,000 kwa mwezi
Likizo: mara 1 kwa mwaka (mwezi wa 12)
Kwa mawasiliano zaidi niPM
NI PM
 
Nipo Dar, nahitaji msaidizi wa kazi za nyumbani wa kike ambae majukumu yake makuu yatakuwa kumhudumia mtoto wa miaka mitatu muda ambao nakuwa ofisini au nikisafiri kikazi: kumpikia mtoto, kumlisha, kumweka katika hali ya usafi na kumfulia nguo zake. Yupo binti mwingine ambae watakuwa wanasaidiana kufanya usafi wa nyumba kila siku asubuhi. Chakula,matibabu na malazi nitagharamia.
Vigezo:
Asizidi miaka 20
Awe mkristo
Ajue kusoma
Awe na bidii ya kazi
Mshahara:
100,000 kwa mwezi
Likizo: mara 1 kwa mwaka (mwezi wa 12)
Kwa mawasiliano zaidi niPM
Yupo huyo ni pm
 
Nipo Dar, nahitaji msaidizi wa kazi za nyumbani wa kike ambae majukumu yake makuu yatakuwa kumhudumia mtoto wa miaka mitatu muda ambao nakuwa ofisini au nikisafiri kikazi: kumpikia mtoto, kumlisha, kumweka katika hali ya usafi na kumfulia nguo zake. Yupo binti mwingine ambae watakuwa wanasaidiana kufanya usafi wa nyumba kila siku asubuhi. Chakula,matibabu na malazi nitagharamia.
Vigezo:
Asizidi miaka 20
Awe mkristo
Ajue kusoma
Awe na bidii ya kazi
Mshahara:
100,000 kwa mwezi
Likizo: mara 1 kwa mwaka (mwezi wa 12)
Kwa mawasiliano zaidi niPM
ONDOA UDINI
 
na mm namhitaji kama yupo anipma detail kama za juu ila hela ni 40000
 
Back
Top Bottom