Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
Habari za masiku wana-MMU?
Katika hali ya maisha ya kutafuta mpenzi nilikutana na msichana mmoja na tukakubaliana kufunga ndoa ila kinachonitatiza katika mazungumzo yetu kuna siku alidai kuwa yeye anachelewa kushika mimba ile hali anadai hajawahi kuzaa wala kuolewa. Jamani nisaidieni inawezekana mtu kujitambua anachelewa kushika mimba bila kubeba mimba au ndiyo nanunulia mbuzi kwenye gunia? Naombeni mawazo yenu tafadhali
Katika hali ya maisha ya kutafuta mpenzi nilikutana na msichana mmoja na tukakubaliana kufunga ndoa ila kinachonitatiza katika mazungumzo yetu kuna siku alidai kuwa yeye anachelewa kushika mimba ile hali anadai hajawahi kuzaa wala kuolewa. Jamani nisaidieni inawezekana mtu kujitambua anachelewa kushika mimba bila kubeba mimba au ndiyo nanunulia mbuzi kwenye gunia? Naombeni mawazo yenu tafadhali