Anadai huwa anachelewa kushika mimba

Baba Erick

JF-Expert Member
Aug 24, 2011
483
75
Habari za masiku wana-MMU?
Katika hali ya maisha ya kutafuta mpenzi nilikutana na msichana mmoja na tukakubaliana kufunga ndoa ila kinachonitatiza katika mazungumzo yetu kuna siku alidai kuwa yeye anachelewa kushika mimba ile hali anadai hajawahi kuzaa wala kuolewa. Jamani nisaidieni inawezekana mtu kujitambua anachelewa kushika mimba bila kubeba mimba au ndiyo nanunulia mbuzi kwenye gunia? Naombeni mawazo yenu tafadhali
 
haahahahahaha.....anachelewa labda alikuwa anajaribu wakati yupo na hao wengine lol
toka nduki tuu ndugu yangu
 
Mchunguze vizuri kuna kitu anakuficha na hapo karopoka....! Au labda kaenda kavu na jamaa yake wa zamani mara nyingi hadi zile siku za danger lakini hakushika mimba...#Mchunguze vizuri...
 
Kuna weza kukawa haya:

  1. Ana matatizo ya kizazi, na katika kutibiwa alishawahi tamkiwa na Gynacologist kua atakua na matatizo ya kuchelewa kushika mimba.
  2. Ni very reckless wakati wa kufanya tendo/ama huwa na majamaa hawajali akipata mimba ama Lah; hivo kumsababishia mimba za mara kwa mara - hivo katoa.
  3. Kisha wahi zaa.... tena hata zaidi ya mara moja.... Ila kaweza siri, ila sababu akili yake ndogo hajui lipi la kuongea kuficha siri na lipi la kutoa.
  4. Hazai.... Na kisha gungua you are the type of guy wa bila Ndo... Hivo hio ni as a way ya kukuambia kua if we do it usishangae sishiki mimba.
  5. Labda tu alikosa ya kuongea....
 
Mchunguze vizuri kuna kitu anakuficha na hapo karopoka....! Au labda kaenda kavu na jamaa yake wa zamani mara nyingi hadi zile siku za danger lakini hakushika mimba...#Mchunguze vizuri...

Dalili ya mvua ni mawingu na Nyota njema huonekana asubuhi,huyo mama kasha kupa majibu kwamba hapo mimba hakuna,yawezekana alikuwa bingwa wa kutoa mimba na badae wakamghoa kizazi,sasa anajaribu kukuweka katika mazingila ya kumuani,don't accept this....kama mapenzi yako kwake yako juu,bac peleka Hospitali ukamcheki,Maake watoto wakike wamekuwa wasanii sana katika suala la mahusiano,ukisha gonga Ndoa tu ndo unaanza kuuona mziki wake ndani.
 
Dalili ya mvua ni mawingu na Nyota njema huonekana asubuhi,huyo mama kasha kupa majibu kwamba hapo mimba hakuna,yawezekana alikuwa bingwa wa kutoa mimba na badae wakamghoa kizazi,sasa anajaribu kukuweka katika mazingila ya kumuani,don't accept this....kama mapenzi yako kwake yako juu,bac peleka Hospitali ukamcheki,Maake watoto wakike wamekuwa wasanii sana katika suala la mahusiano,ukisha gonga Ndoa tu ndo unaanza kuuona mziki wake ndani.

hahahahaa mambo mengine yanatufanya tujenge imagery kwakweli! Bize tu unapelekwa kupimwa eti aone kama unaweza kushika mimba, with just a boyfriend??? Dah.....
 
Angalia mfano huu alafu jibu utalipata.
Gaspar alikubaliana na mpenzi wake wakafanye mapenzi guest, wakachukua chumba, wakiwa chumbani Gaspar akawa anamwita muhudumu amuoneshe choo muhudumu akaonekana kuchelewa mara mwanamke (Amina) akamwambie hebu twende nikupeleke chooni ilikua hivi :-
Amina : Twende swity vyoo viko kuhu nyuma.
Gaspar : We Amina umevijuaje vyoo vilipo umeshawahi kulala hapa?
Amina : Aaata sijawahi kuna siku nilikua napita njia kufika maeneo haya nikawa nimebanwa nikaomba msaada.
Waliporudi chumbani Gaspar akawa anataka Malta anywe.
Gaspar : Aisey mpenzi ngoja nitoke nikatafute duka karibu ninue Malta najua na wewe mpenzi wa Malta.
Amina : Wala usihangaike Malta zinauzwa humuhumu ndani. Piga picha hiyo wakati Gaspar hakuwahi kuingia hiyo guest hapo kabla. Na Amina lile la kujua choo alilitolea maelezo la vinywaji je? Jibu unalo ! Huwezi kumuuliza Shekhe utamu wa Nyama ya Ngurue akakupa majibu sahihi.
 
Angalia mfano huu alafu jibu utalipata.
Gaspar alikubaliana na mpenzi wake wakafanye mapenzi guest, wakachukua chumba, wakiwa chumbani Gaspar akawa anamwita muhudumu amuoneshe choo muhudumu akaonekana kuchelewa mara mwanamke (Amina) akamwambie hebu twende nikupeleke chooni ilikua hivi :-
Amina : Twende swity vyoo viko kuhu nyuma.
Gaspar : We Amina umevijuaje vyoo vilipo umeshawahi kulala hapa?
Amina : Aaata sijawahi kuna siku nilikua napita njia kufika maeneo haya nikawa nimebanwa nikaomba msaada.
Waliporudi chumbani Gaspar akawa anataka Malta anywe.
Gaspar : Aisey mpenzi ngoja nitoke nikatafute duka karibu ninue Malta najua na wewe mpenzi wa Malta.
Amina : Wala usihangaike Malta zinauzwa humuhumu ndani. Piga picha hiyo wakati Gaspar hakuwahi kuingia hiyo guest hapo kabla. Na Amina lile la kujua choo alilitolea maelezo la vinywaji je? Jibu unalo ! Huwezi kumuuliza Shekhe utamu wa Nyama ya Ngurue akakupa majibu sahihi.

kaka umenimaliza ila nimekuelewa.
 
Kuna weza kukawa haya:

  1. Ana matatizo ya kizazi, na katika kutibiwa alishawahi tamkiwa na Gynacologist kua atakua na matatizo ya kuchelewa kushika mimba.
  2. Ni very reckless wakati wa kufanya tendo/ama huwa na majamaa hawajali akipata mimba ama Lah; hivo kumsababishia mimba za mara kwa mara - hivo katoa.
  3. Kisha wahi zaa.... tena hata zaidi ya mara moja.... Ila kaweza siri, ila sababu akili yake ndogo hajui lipi la kuongea kuficha siri na lipi la kutoa.
  4. Hazai.... Na kisha gungua you are the type of guy wa bila Ndo... Hivo hio ni as a way ya kukuambia kua if we do it usishangae sishiki mimba.
  5. Labda tu alikosa ya kuongea....

thanks mumy you are a really gt!
 
Mchunguze vizuri kuna kitu anakuficha na hapo karopoka....! Au labda kaenda kavu na jamaa yake wa zamani mara nyingi hadi zile siku za danger lakini hakushika mimba...#Mchunguze vizuri...

jamani Moyo nilijaribu kumwuliza maswali ila akawa haeleweki
 
@AshaDii
niimeipenda namba 5

@babaerick
ongea naye vizuri, kuna kitu anajaribu kukuambia
 
kama moja ya malengo yako ya kuoa ni kupata mtoto, hapo sio penyewe kaka! Ila kama ni kwa ajili ya temporary 'human consumption' unaweza ukaendelea naye. Ila la kudai huchelewa kushika mimba ili hali bado hajaolewa, unaweza ukajikuta unafakamia maugonjwa hapo!
 
Baba Erick, hapa tunaweza kutoa mawazo mengi. Pengine kati ya 100 moja likawa sahihi, au yote, au hata moja.
Lakini kwa kuwa una maelewao mema naye, nafikiri hukuishia tu kusikiliza aliyokuambia bila kuuliza kulikoni. Ikiwa bado,
basi mwulize usikilize atasema nini. Baadaye pima atayokuambia, weka pamoja na baadhi ya maoni ya WanaJF na
uchanganye na yako. Na kama unampenda kweli fanya uintelijensia kidogo kwa wanaomfahamu lakini kwa hili pia
usiwe subjective. Kusanya angalau samples 5 toka pande tafauti. Ukipata 3/5 inawezekana kuwa huo ndio ukweli
ingawa si lazima.

Tusimmhukumu huyu Dada kabla ya kujua ukweli.
 
Baba Erick, hapa tunaweza kutoa mawazo mengi. Pengine kati ya 100 moja likawa sahihi, au yote, au hata moja.
Lakini kwa kuwa una maelewao mema naye, nafikiri hukuishia tu kusikiliza aliyokuambia bila kuuliza kulikoni. Ikiwa bado,
basi mwulize usikilize atasema nini. Baadaye pima atayokuambia, weka pamoja na baadhi ya maoni ya WanaJF na
uchanganye na yako. Na kama unampenda kweli fanya uintelijensia kidogo kwa wanaomfahamu lakini kwa hili pia
usiwe subjective. Kusanya angalau samples 5 toka pande tafauti. Ukipata 3/5 inawezekana kuwa huo ndio ukweli
ingawa si lazima.

Tusimmhukumu huyu Dada kabla ya kujua ukweli.
thanks lol! yaani ni haeleweki lol nikimwuliza ananiambia alizaliwa na hilo tatizo eti yaani haeleweki
 
hahahahaa mambo mengine yanatufanya tujenge imagery kwakweli! Bize tu unapelekwa kupimwa eti aone kama unaweza kushika mimba, with just a boyfriend??? Dah.....

Hahahhaaa..umeona eeeh! akitoka hapo akakutangazie vizuri....Otherwise kipimo cha kuoa au kuishi na mwanamke kinaenda sambamba na uwezo wa mwanamke huyo kuzaa?? wanaume wabaya nyinyi..
 
thanks lol! yaani ni haeleweki lol nikimwuliza ananiambia alizaliwa na hilo tatizo eti yaani haeleweki

Kumbe hata wewe umeshaona kuwa haeleweki..then usipoteze muda na nguvu zako..#Chapa lapa tu.
 
Hahahhaaa..umeona eeeh! akitoka hapo akakutangazie vizuri....Otherwise kipimo cha kuoa au kuishi na mwanamke kinaenda sambamba na uwezo wa mwanamke huyo kuzaa?? wanaume wabaya nyinyi..

HEART ! Tutake Razi (radhi) kabla jua halijazama sie TUWAZAENI kisha tuwe wabaya ? Kabla ya kuwazaa tunahangaika kutafuta pesa za mahari kwa MBINDE tukawaoa mama zenu tena some times panatokea competetion wanaume watatu kumfatilia mchumba mmoja hatimae mmoja anaoa tunaanza maisha na mama zenu nyumba za kupanga nyie tunawalea tunawasomesha leo mmekua unachukua simu/labtop ambayo siajabu nimekununulia mie Baba yako kisha wasema wanaume (means Akinababa) WABAYA ? Ndiyo shukurani yenu hiyo ?
 
Back
Top Bottom