troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,430
- 2,264
Nimekuwa nikifuatilia mienendo ya unafiki,uzandiki wa watanzania baadhi yetu,hasa wanasiasa wa pande zote mbili, kwa maana ya wanaccm na wapinzani
Wanaccm baadhi wanapoona kuna mtu ni tishio kwa hatma ya mustakabali wao kisiasa,akionyesha kupata ushawishi na wafuasi wengi hutumia mbinu mbalimbali kummaliza,wakiwanunua baadhi wanasiasa wa upinzani kufanya kazi hiyo
Mfano nimefuatilia kipindi cha mahojiano startv kati ya Godless Lema na Odemba,maudhui yalitawaliwa na jina la MAKONDA tu kwa asilimia kubwa
Kingine ni mahojiano ya Lissu na mwandishi wa Mwanahalisi mada kuu ilikuwa MAKONDA tu,hii inaonyesha ni kwamba kiumbe huyu zinatumika mbinu zote kuhakikisha anashushwa,na walio nyuma ya hii agenda ni wanaccm wenyewe
Hivyo basi yaliyotokea kwa Lowassa ndio yanayoendelea kwa MAKONDA,wataibuka wengi kimkakati kuhakikisha MAKONDA anaanguka kisiasa.
Wanaccm baadhi wanapoona kuna mtu ni tishio kwa hatma ya mustakabali wao kisiasa,akionyesha kupata ushawishi na wafuasi wengi hutumia mbinu mbalimbali kummaliza,wakiwanunua baadhi wanasiasa wa upinzani kufanya kazi hiyo
Mfano nimefuatilia kipindi cha mahojiano startv kati ya Godless Lema na Odemba,maudhui yalitawaliwa na jina la MAKONDA tu kwa asilimia kubwa
Kingine ni mahojiano ya Lissu na mwandishi wa Mwanahalisi mada kuu ilikuwa MAKONDA tu,hii inaonyesha ni kwamba kiumbe huyu zinatumika mbinu zote kuhakikisha anashushwa,na walio nyuma ya hii agenda ni wanaccm wenyewe
Hivyo basi yaliyotokea kwa Lowassa ndio yanayoendelea kwa MAKONDA,wataibuka wengi kimkakati kuhakikisha MAKONDA anaanguka kisiasa.