Aizn
JF-Expert Member
- Dec 14, 2022
- 2,172
- 4,180
Hizi sio hasira za miradi ya Zenji tu naona mkuu umechanganya na hasira za bandari ya wadanganyika kuibwa na wajomba zake Bulicheka wa DP World!
Wanachanganya tu maamuzi ya kimama hayawezi kuongoza taifa ni kulea mtoto tu