Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 455
Mkuu wewe ndo muongo hapa, umempotezea muda msichana wa watu, ulimlazimisha kufanya bila kinga, umemnyanyasa kwa kumwita muongo...badilika ndugu, sasa kama ungeambiwa ana ukimwi si ungekimbia bila hata kumpa ushauri? Wewe mnyanyapaa mkubwa