Sefu kontena? Kanumba school nn
I see huyu jamaa ameni disappoint kweli, yani huyu hana tofauti na wale Waswahili wanaoshinda kutwa na porojo za kubishana kati ya Bakhresa na Abood nani mwenye magari mengi.Aseeee...
Ukajisikia raaaahaaa.....!
Ha ha ha ha ha,mkuu na wewe ulikua kwenye nini?Nimeonana naye wakati nikitokea maeneo ya ifm kuja ikulu,yeye yupo na vogue nyeusi yenye plate number ya MO.(Mohammed Dewji)
Ha ha ha ha ha,mkuu na wewe ulikua kwenye nini?
Eheee sasa mda wote yupo dsm hao wapiga kura wake anawasikliza mda gani? au ndio ukiwa na hela ukirudi baada ya miaka mi5 unamwaga mabillions.....
Hapana Mie nilikuwa nafanya mazoezi ya kutembea kutoka mwenge hadi posta kwa mguu thru ocean raod
View attachment 75267