Extraseen
Senior Member
- Feb 18, 2017
- 140
- 136
Hello wapendwa..kuna mtu kasajili kila kitu akapata vibali vyote lakini hajui afanye biashara gani..
Yaan yeye alicho fanya nikupambana kusajili bila kujali anacho kieleza kule, kwake alikuwa ana tamaa sana ya kufungua ili kwanza amalize mchakato wa kupata Bank acc ya kampuni, Leseni, Efd machine na kafanya vyote sasa ana waza ..
Je ni coperate busines gani afanye ili awe supplier.. anapenda kuwa supplier mwanzo alitaman kuwa supplier wa Offices kwenye eneo la Stationaries and printers accessory.. na ndio alicho sujilia ..ila kwa kuwa amesajili kama office suppliers haja jifunga kwenye specific iko wazi.. kusupplie chochote.
Sasa anauliza wenye wazo.. la Nini kina kuwa supplies kwa coperate companies nyingi hapa mjini ili aanze maana anaogopa kulipia pango kwa office kabla haja jua afanye nipi na kina mzunguko gani.
Hapa kuna wazoefu... tusimnyime wazo la kitu kinacho toka haraka..
Yaan yeye alicho fanya nikupambana kusajili bila kujali anacho kieleza kule, kwake alikuwa ana tamaa sana ya kufungua ili kwanza amalize mchakato wa kupata Bank acc ya kampuni, Leseni, Efd machine na kafanya vyote sasa ana waza ..
Je ni coperate busines gani afanye ili awe supplier.. anapenda kuwa supplier mwanzo alitaman kuwa supplier wa Offices kwenye eneo la Stationaries and printers accessory.. na ndio alicho sujilia ..ila kwa kuwa amesajili kama office suppliers haja jifunga kwenye specific iko wazi.. kusupplie chochote.
Sasa anauliza wenye wazo.. la Nini kina kuwa supplies kwa coperate companies nyingi hapa mjini ili aanze maana anaogopa kulipia pango kwa office kabla haja jua afanye nipi na kina mzunguko gani.
Hapa kuna wazoefu... tusimnyime wazo la kitu kinacho toka haraka..