Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Hahahahaaaa ila si sio zuzu
Mamndenyi kishika uchumba tena wakati nilishakupa tangu mwaka jana?
Si tunatafuta mtoto sasa maana tumeshachoka kukaa wenyewe
Haya mama ntakupa...siunajua nampenda sana katotoo so hata iweje lazma nikupe tu Mamndenyi wanguIle uliyonipa nililipa deni la kanga doti kumi nilizokuwa nikopa kwa mwarabu,
kama vipi ulinipe tena hela nyingine, inawezekana ndiyo maana dada ananata kihivyooooooo.