Just a person
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 964
- 1,187
Walikuwa na mahusiano na walisex before kuuliwa ndo maan mwili ulikutwa uchiNa unaweza kuta pia hawakuwa na mahusiano, Marehemu pengine alibakwa au ilishindikana kubakwa.
Kwa haraka haraka inaelekea kulikuwa na varangati kubwa la kujitetea kabla Marehemu kuuawa