Rugemeleza
JF-Expert Member
- Oct 26, 2009
- 668
- 136
- Thread starter
- #61
Hukumu ya mahakama iko wapi hapo? Hakuna hukumu ya mahakama hapo, bali makubaliano ya two parties ambayo yaesajiliwa na mahakama kupata nguvu za kisheria.
Hakuna hukumu ambayo huwa haina submissions, arguments za two parties, argument ya mahakama na decision.
Inabidi urudi darasani kusoma sheria na kuelewa maana na nguvu ya Consent Settlement Order. Kwa faida yako hiyo ni amri iliyotokana na usuluhishi wa mahakama. Isome vizuri Amri hiyo na ujue maana yake!