Mallata Jr.
JF-Expert Member
- Feb 24, 2014
- 461
- 392
1. Muheshimu anayekununulia
2. Muamkie mtoa ofa kabla hujakaa kitini
3. Uwe ndie mchekeshaji wa kikao, lakini usimkatishe mazungumzo anaetoa ofa
4.Mtoa ofa akikutuma popote usikatae
5. Mtoa ofa akiupenda muziki fulani, we anza kucheza kwa bidii kabisa
6. Usinywe kwa pupa, kunywa mafunda madogomadogo
7. Mtoa ofa akitoa kichekesho cheka sana hata kama hakichekeshi
2. Muamkie mtoa ofa kabla hujakaa kitini
3. Uwe ndie mchekeshaji wa kikao, lakini usimkatishe mazungumzo anaetoa ofa
4.Mtoa ofa akikutuma popote usikatae
5. Mtoa ofa akiupenda muziki fulani, we anza kucheza kwa bidii kabisa
6. Usinywe kwa pupa, kunywa mafunda madogomadogo
7. Mtoa ofa akitoa kichekesho cheka sana hata kama hakichekeshi