Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Jamaa mmoja na mkewe pamoja na watoto wao wawili,amina na amoni walikuwa wakiishi kwenye chumba kimoja tu.Amina alikuwa na miaka 8 na amoni alikuwa na miaka 5.Ilikuwa ikifika night,wote wanalala bed moja na watoto.Sasa kabla ya ku do majamboz inawabidi wahakikishe watoto wamelala.Siku moja walipo hisi watoto wamelala,wakaanza ku do kwa spidi kali na katika process hiyo,wakampiga kumbo mtoto amoni mpaka chini.Wakamwokota wakaendelea kulala.Wazazi hawakuridhika,wakatafuta gap usiku huo huo,wakaanza tena ligi,mara wakamsikia amina akisema;'Amoni mdogo wangu jishikilie vizuri,wameanza tena!'.