Amini usiamini, Tanzania hadi sasa ina flyover mbili (2) tu zinazofanya kazi rasmi

Hamnaga shukrani alikuwa anatengeneza flyover lakini hakuna ajira mpya Wala kupandisha mishahara mkasema maendeleo ya vitu maisha magumu kaja anataka maendeleo ya watu Bado mnaongeaaaa
Huyu mama anataka kufurahisha watu, sio kuleta maendeleo.

Maendeleo hayawezi kuja kwa kuchekeana chekeana. Wazungu hawakufika hapo kwa kuchekeana, wamwpigana vita nyingi sana kuwekana sawa.

Sisi Tanzania tunataka kuchekeana, mara mama asamehe wasiolipa kodi, sasa unasamehe watu wasilipe kodi wewe nchi utaiendeshaje, kwa kukopa na kuomba misaada?

Hakuna maendeleo yamewahi kuletwa hapa Duniani kwa misaada na mikopo. Hakuna.

Hii nchi tuna bahati mbaya sana.
 
Tumshukuru sana mzalendo magufuli aliip a mbania Tanzania yetu.Naamini angekuwepo nchi ingetapakaa flyover kila mahali.Maana toka atutoke hakuna flyover mpya iliyobuniwa na awamu hii mpya zaidi tu ya alizoziacha ambazo zingine zinamaliziwa kwa sasa japo za sasa zimechakachuliwa.Yaani hazina mvuto na ubora.
 
Back
Top Bottom