Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,825
Mi kama mimi, kiukweli naomba asikurudie ukonde tu hadi uwe kama spoku ya baiskeli
ulimuacha mchumba wako kisa huyo mwanamke, it's your turn now nawe uachwe tu....
hahahahahah..... Mijitu mingine banaa..unatamani iwe karibu uirushe maili kadhaa kwa mijikofi!