Ameshajua nampenda, basi ndio ananikomoa

Mi kama mimi, kiukweli naomba asikurudie ukonde tu hadi uwe kama spoku ya baiskeli
ulimuacha mchumba wako kisa huyo mwanamke, it's your turn now nawe uachwe tu....

hahahahahah..... Mijitu mingine banaa..unatamani iwe karibu uirushe maili kadhaa kwa mijikofi!
 
love is never equal dear,mara nyingi kwenye penzi mmoja lazma amzidi mwenzie tu,and maybe she is just good at hiding her pain..au ndo anatafta kwingine mana jamaa hatangazi ndoa japo anamsifia sana kuwa wife material

I totally agree with you hun but love should be a 'two way' thing. You should both be able to share the same feelings and love should be reciprocated, maybe not with the same degree but atleast unakua na uhakika kwamba na ww unapendwa. But putting myself in the lady's shoes i do understand her, mm my ex alinitamkia tuachane and even though i loved him very much i chose not to fight him, nikamjibu poa na kusepa zangu kumbe alikua anatingisha kiberiti kuona kama bado kimejaa but what he forgot is that wengine wetu hatujaribiwi. I did move on na hata alipojaribu kuniomba msamaha it was a lil too late. Ndo maana huyu kaka namshauri apige moyo konde aendelee na maisha yake coz even if the lady takes him back asiwe na uhakika she got back to him becoz she loves him, wengine wanatafuta tu revenge,atarudi kukuumiza bure!
 
......ukishaweka too much #EXPECTATIONS kwa binaadamu matokeo yake ndio hayo.

Kwanini unamfanya huyo binti ndio #UfunguoWaFuraha ya maisha yako?

Ulichukua uamuzi mgumu ingawa wa busara kuachana nae kwa #FaidaYako , ila sasa unatamani uendelee kuburuzwa ee?

ImageUploadedByJamiiForums1400658061.414089.jpg

I'm a grown man nd i kno such things. Lakini hii kitu imenifanya niwe kama mjinga flan hvi najishangaa sanaa at tyms. I feel like she z tha only woman on earth and i gotta win her. USIOMBE UKAPENDA AISEE. Dah !!




#MosKwito !
 
Pole sana Majigo,sikujua umeumia that much.

thanx lakin linaleta majuto na nguvu ya kujishusha! Kamoyo kakanywea... Yaan toka babe, sijui switii...ooh.. Mara Honey! Leo ikawe shemeji?
Hapo unaanza upya kumuwinda mtu wako ili myamalize!
Nashukuru mbebe umerudi kundini, tunaitana kama zaman!
 
Last edited by a moderator:
Sikiza mapenzi hayana mkubwa wala mdogo..hata kama nina ventures zangu za hela nyingi still when it comes to love issues we live and learn everyday...She z not tha first woman in my life. She iz just special and one of kind. I'm a changed man thanks to her. She z just a woman i don't wanna let go. She z much younger than me but still i gotta admit amenifundisha mambo mengi, hata mafanikio yangu yeye ana mkono wake pia. Ki ufupi she means a lot to me. We elewa hivyo. Hata wewe ukifikia stage hyo lazma utaona na ku feel a part of you z missing in you when she z gone.

Sasa Senior Boss, shouldn't you be saying these things to her rather than trying to find justification for your wrong doings. Kama kweli unampenda and she's all that to you mtafute, do the right thing and make yourself happy rather than making yourself all miserable. And if you really love her as much as you say it then talk to her, tell her your worries & concerns & make amends. Maybe yy sio mzuri sana wa kuji express ndo maana she silently walked away akakuacha na mambo yako, not everyone is a fighter and you should know that.
 
We hapo kula buyu tuu.



Njia nzuri zaidi, kua kama mm, binti akianza mchezo na moyo wangu hua natafuta mbadala wake anakua kama "panadol" kutuliza maumivu. Kinachokutesa wewe hukuweka backup, kwani huoni ile generator pale kwa office? Haiachi pengo yaani umeme ukileta nyodo tuu jamaa anaanzisha uzalishaji. Pole kwa taabu zote, mimi nimeshapitia hapo na sasa niko na mwingine ambaye simpi 100!
 
thanx lakin linaleta majuto na nguvu ya kujishusha! Kamoyo kakanywea... Yaan toka babe, sijui switii...ooh.. Mara Honey! Leo ikawe shemeji?
Hapo unaanza upya kumuwinda mtu wako ili myamalize!
Nashukuru mbebe umerudi kundini, tunaitana kama zaman!
Mmesharudiana?
 
Una hela mkuu? Mapenzi ya Romeo & Juliet yalikwisha kitambo! Halafu naona Kama hujiamini vile.
 
thanx lakin linaleta majuto na nguvu ya kujishusha! Kamoyo kakanywea... Yaan toka babe, sijui switii...ooh.. Mara Honey! Leo ikawe shemeji?
Hapo unaanza upya kumuwinda mtu wako ili myamalize!
Nashukuru mbebe umerudi kundini, tunaitana kama zaman!
Nimefurahi kuwa pamoja na kukuumiza limekuwa msaada pia.
Hongera kwa kumrudisha mbebe kundini.
 
sasa kilichokufanya umbwage mtoto wa watu ni nini? Muache anenepe uendelee kukonda! Na ukiona siku yupo na jamaa mwingine ndo utaaga dunia kabisaaa! Loh ! mapenzi niue !!

Aaaaah wewe lazima kichimbike. Mungu aepushe mbali maana.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom