malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,716
Habar wakuu msaada wenu tafadhali.
Nna ndugu yangu wa kike umri miaka 45 amepatwa na ukichaa ghafla jioni ya Jana, January 28, 2024.
Sasa huyu ndugu yangu nasikia muda mrefu kuwa huwa nimuathirika. Je wakuu kunauhusiano wa ukimwi na kupatwa na kichaa.
Msaada wenu wakimawazo kwa anaefahamu
Nna ndugu yangu wa kike umri miaka 45 amepatwa na ukichaa ghafla jioni ya Jana, January 28, 2024.
Sasa huyu ndugu yangu nasikia muda mrefu kuwa huwa nimuathirika. Je wakuu kunauhusiano wa ukimwi na kupatwa na kichaa.
Msaada wenu wakimawazo kwa anaefahamu