johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,131
Kiongozi mkongwe wa NCCR mzee Ambari anasema wamemvumilia sana James Mbatia lakini sasa imetosha
Ambari anasema Mbatia aliwahi kula njama na CCM ili dada yake apigiwe kura za ubunge wa EALA na wabunge wa Lumumba na alifanikiwa
Huyu Mbatia ndio aliwafukuza akina Lyatonga Mrema, Kafulila nk amesema
J4 Ubarikiwe sana!
Ambari anasema Mbatia aliwahi kula njama na CCM ili dada yake apigiwe kura za ubunge wa EALA na wabunge wa Lumumba na alifanikiwa
Huyu Mbatia ndio aliwafukuza akina Lyatonga Mrema, Kafulila nk amesema
J4 Ubarikiwe sana!