Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,718
- 16,137
Ukubwa wa jiografia ya nchi siyo kipimo cha maendeleo mkuu. Visiwa vya japan ni eneo dogo sana lakini Afrika nzima hatuwezi kuukuta uchumi wa japan.Ni kama kusema kabadilisha mikoa miwili ya DRC .....kua na lami naumeme....Rwanda padogo sana.....ni rahisi kujenga miundo mbinu.
Au kabadilisha kua ya watusi pekee