mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 471
Watanzania wenzangu mgomo wa madaktari kama ukija kutokea kwa mara ya pili kwani mimi siamini,lazima tujilaumu wote kwani wewe na mimi tuna nafasi ya kutetea lile ambalo ni la maslahi ya watanzania na nchi yetu.
Ugonjwa hamna mtu anayeomba augue na hamna mtu anayeweza kujihakikishia hataweza kupata ajali hivyo mgomo unakuhusu na unanihusu kwani kwa namna moja au nyigine unaweza ukajikuta unapoteza maisha wakati leo watanzania tuna nafasi ya kuiambia serikali iwaweke pembeni Waziri wa afya na naibu wake ili mchakato wa meza ya makubaliano kati ya madaktari na serikali uendelee
Watanzania wenzangu tuwe na ujasiri wa kuisemea serilkali pale inapokosea,swala la mgomo likitokea tena kwa serilaki kulindana nitajilaumu sana na nitakulaumu kama serikali hatutaisemea kama Waziri wa afaya na naibu wake watakuwa ofisini watanzania tukipoteza maisha jumatano ijayo
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Ugonjwa hamna mtu anayeomba augue na hamna mtu anayeweza kujihakikishia hataweza kupata ajali hivyo mgomo unakuhusu na unanihusu kwani kwa namna moja au nyigine unaweza ukajikuta unapoteza maisha wakati leo watanzania tuna nafasi ya kuiambia serikali iwaweke pembeni Waziri wa afya na naibu wake ili mchakato wa meza ya makubaliano kati ya madaktari na serikali uendelee
Watanzania wenzangu tuwe na ujasiri wa kuisemea serilkali pale inapokosea,swala la mgomo likitokea tena kwa serilaki kulindana nitajilaumu sana na nitakulaumu kama serikali hatutaisemea kama Waziri wa afaya na naibu wake watakuwa ofisini watanzania tukipoteza maisha jumatano ijayo
MUNGU IBARIKI TANZANIA