Aizn
JF-Expert Member
- Dec 14, 2022
- 2,172
- 4,179
Awe na 19-25 age
Kasoma ajasoma, educated or not it’s ok
Wa nchi yeyote ilee hata aliyekulia tanzania/any country
Kuhusu muonekano sijali urefu sijui ufupi, shape i don’t care
Kuhusu uchumi wangu tutaongea/ about my economic we will discuss
Am from MTANZANIA
height 6.67 urefu 6.67 , color brown- mengine tukikutana tutaonana vizur
Vingine tutaongea- others things will discuss
Dini pia tutajadiliana /Religion will discuss
Magonjwa tutapima/ health we gonna check
Lugha sio mjuzi sanaa so naendelea kujifunza misamiati mingi mingi ili niwe vizur zaid na hata yeye kama aongei kingereza anaongea lugha za kwao mf kibrazil,kifaransa nitajifunza pia twende sawa
Nimeandika kiswahili kwa kuwa najua wazungu humu wa kupapasa/wachache so kama mtu ana best yake mzungu na mwenye uhitaji naomba connection tafadhali hata kama hayupo Tanzania nita try my best kukutana naye na kukubaliana tunaanzia wapi!!
Napata DM nyingi zikiwa zina nienjoy
Kama una connection please naomba uwe seriously coz nina uhitaji kweli sio utani, tafadhali naomba uwe seriously, please please please
Nikipata nitawaletea mrejesho/ nitahakikisha nampata
Nimekuja kwenu kwa unyenyekevu wote, asanteni
Kasoma ajasoma, educated or not it’s ok
Wa nchi yeyote ilee hata aliyekulia tanzania/any country
Kuhusu muonekano sijali urefu sijui ufupi, shape i don’t care
Kuhusu uchumi wangu tutaongea/ about my economic we will discuss
Am from MTANZANIA
height 6.67 urefu 6.67 , color brown- mengine tukikutana tutaonana vizur
Vingine tutaongea- others things will discuss
Dini pia tutajadiliana /Religion will discuss
Magonjwa tutapima/ health we gonna check
Lugha sio mjuzi sanaa so naendelea kujifunza misamiati mingi mingi ili niwe vizur zaid na hata yeye kama aongei kingereza anaongea lugha za kwao mf kibrazil,kifaransa nitajifunza pia twende sawa
Nimeandika kiswahili kwa kuwa najua wazungu humu wa kupapasa/wachache so kama mtu ana best yake mzungu na mwenye uhitaji naomba connection tafadhali hata kama hayupo Tanzania nita try my best kukutana naye na kukubaliana tunaanzia wapi!!
Napata DM nyingi zikiwa zina nienjoy
Kama una connection please naomba uwe seriously coz nina uhitaji kweli sio utani, tafadhali naomba uwe seriously, please please please
Nikipata nitawaletea mrejesho/ nitahakikisha nampata
Nimekuja kwenu kwa unyenyekevu wote, asanteni
Last edited: