ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
- Thread starter
- #21
karibu mkuu, nafurahi tena kukuona humu jamvini.
Kuhusu msichana wa kutoka nae kuna FF, siku hizi anajiita JF BAN-1, wasiliana na Maxence Melo akuwasilianishe nae, atakufaa huyu.
Please, accept my choice.
Mh! mbona kama unaniingiza cha kike?! huyo atanipunguzia stress au ndio ataniongezea stress!!.