Aluta continua pacome zizou one day yes!

Majok majok

JF-Expert Member
Aug 3, 2023
609
1,563
Uko vizuri sana kijana na ndio maana kocha kakuona na kakujumisha kwenye kikosi Cha awali Cha timu ya Taifa ya Ivory coast sio jambo dogo!
Lakini imekuwa ngumu kupenya mbele ya wachezaji wakubwa wanaokipiga ulaya wanaocheza nafasi yako ambao ni:

1)Ibrahim sangare-Notingham forest-England
2)Jean Michael serri-Hull city-England
3)Idrissa doumbia-Ahli-Qatar
4)Simon adingra-Brighton-England
5)Jeremy boga-Nice-france
6)Oumar diakite-Rems-france

Tunajua na wao walianza Kama wewe na wakatoboa ivyo na wewe usikate tamaa umeonyesha mwanga kuelekea mafanikio endelea kukiwasha utafika panapotakiwa inshallah!
 
Uko vizuri sana kijana na ndio maana kocha kakuona na kakujumisha kwenye kikosi Cha awali Cha timu ya Taifa ya Ivory coast sio jambo dogo!
Lakini imekuwa ngumu kupenya mbele ya wachezaji wakubwa wanaokipiga ulaya wanaocheza nafasi yako ambao ni:

1)Ibrahim sangare-Notingham forest-England
2)Jean Michael serri-Hull city-England
3)Idrissa doumbia-Ahli-Qatar
4)Simon adingra-Brighton-England
5)Jeremy boga-Nice-france
6)Oumar diakite-Rems-france

Tunajua na wao walianza Kama wewe na wakatoboa ivyo na wewe usikate tamaa umeonyesha mwanga kuelekea mafanikio endelea kukiwasha utafika panapotakiwa inshallah!
Huyo NDANDA COSOVO ni mzee tayari kaja kumaliza mpira wake huku,haya maneno ya kumpa moyo tu....
 
Uko vizuri sana kijana na ndio maana kocha kakuona na kakujumisha kwenye kikosi Cha awali Cha timu ya Taifa ya Ivory coast sio jambo dogo!
Lakini imekuwa ngumu kupenya mbele ya wachezaji wakubwa wanaokipiga ulaya wanaocheza nafasi yako ambao ni:

1)Ibrahim sangare-Notingham forest-England
2)Jean Michael serri-Hull city-England
3)Idrissa doumbia-Ahli-Qatar
4)Simon adingra-Brighton-England
5)Jeremy boga-Nice-france
6)Oumar diakite-Rems-france

Tunajua na wao walianza Kama wewe na wakatoboa ivyo na wewe usikate tamaa umeonyesha mwanga kuelekea mafanikio endelea kukiwasha utafika panapotakiwa inshallah!
Ndg hao umri wa miaka 22 walikuwa ulaya usiandike kama mlevi ,huyu miaka 26+hawezi kutoboa hata akicheza vipi too late .
 
Huyu Mzee Wenu mnajitahidi Kumpamba Kama Mlivyokuwa Mnampamba Djuma Shaban dhidi ya Kapombe.....!

Kapombe Bado yupo... Mzee Wenu Djuma Kapotea..

Pacome ana muda mfupi sana Kwenye Soka La Ushindani...!

Niko Palee..Lkn mnisamehe tu
Sawa mtabiri
 
Wakati mwingine profile ndio linambeba mtu... Ngumu saana mwalimu kuacha mchezaji anacheza ligi ya ulaya kisha akamchukua wa tz ni ngumu na uamuzi huo utajadiliwa saana.
 
Ndg hao umri wa miaka 22 walikuwa ulaya usiandike kama mlevi ,huyu miaka 26+hawezi kutoboa hata akicheza vipi too late .
Tumia akili kidogo ulizonazo kuelewa nilichomaanisha usiwe Kama umekatika kichwa, unaposema miaka 26 awezi kutoboa wapi? Mi naongelea kuitwa timu ya Taifa wewe unaongelea kutoboa ulaya, Timu ya Taifa wapo walioitwa Wana miaka 30 utasemaje pacome awezi kuitwa Tena kwa umri wake?
 
Tumia akili kidogo ulizonazo kuelewa nilichomaanisha usiwe Kama umekatika kichwa, unaposema miaka 26 awezi kutoboa wapi? Mi naongelea kuitwa timu ya Taifa wewe unaongelea kutoboa ulaya, Timu ya Taifa wapo walioitwa Wana miaka 30 utasemaje pacome awezi kuitwa Tena kwa umri wake?
Unaandika kitu ambacho hakipo shirikisha ubongo haijawai kutokea na haiwezekani uitwe kucheza world cup au africon ivorycoast kama hauchezi Ulaya ,Asia,Amerca unless uwe golikipa tu.
 
Unaandika kitu ambacho hakipo shirikisha ubongo haijawai kutokea na haiwezekani uitwe kucheza world cup au africon ivorycoast kama hauchezi Ulaya ,Asia,Amerca unless uwe golikipa tu.
Unaandika vitu Gani wewe mbona ueleweki, kwamba auwezi kuitwa kucheza AFCON Kama uchezi ulaya?
 
Ivory Coast haiwezi kuita kikosi cha mashindano halafu ikachukua mtu kutoka Yanga kwanza ni aibu na ni uamuzi ambai kocha anaweza tumia hata mwezi mzima kuutetea na bado atatimuliwa
 
Back
Top Bottom