Alphonse Kihwele, Benki ya Posta na Kashfa

IO.. umesoma hiyo attachment? kwa sababu ndani yake kuna madai mazito yanayohusu kwanini bado ni CEO..
 
Asante sana nakumbuka sana wakati ule uliwahi kuandika kuwa mwaka 2009 hawawezi kutuzuga tena na sasa kama ndio unafanya na kuamsha mambo haya basi Mungu akubariki babu yangu kwa hekima hizo zote
 
M'kijiji,
Thank you!!!
Issue kubwa hapa naona kuwa nini kwa nini Alphone hawezi kuachia cheo. Yaani kustaafu, na wengine wachukue hicho cheo. Halafu baada ya kushindwa kumwondoa kwa sheria (sijui ni ipi); tuna-mbatiza ni fisadi. Let us prove, ufisadi wake with solid evidence. It may be true the guy is corrupt (maybe just for now); the days I knew him he was really a serious guy. Labourious hard working with high skills in Banking sector. He is among the Best CEO; I can compare him to Mr. Kimei, Ballali etc.

Wito kwa vijana wenye uwezo: I don't think it is good to harbour hate, in case you are intelligent and you can do the job, go on and bring evidence, but talking behind scenes, it is a waste of time. These guys will stay there and nobody will move them, generations will pass.

Otherwise mleta habari hii atwambie je nia yake ni Alphonce retirement au ufisadi? Does he handle well his job?? Do we still need him? Note that he is still at his 60s. Do we have a suitable substitute??
Nafikiri ww ni mmoja wa waliofaidi mapungufu ya kiungozi ya Kihwele Otherwise hakuna mtu anayewaza kwa kutumia kichwa na anaijua Benki ya Posta anaweza kumpa Kihwele Credit.Lakini wale wanaotumia moyo kuwaza na wale ambao walitumia udhaifu wa kiungozi wa kihwele kama Kajula wanaweza kumsifia hata ikibidi kufa.
Hebu katika kusanifisha sifa za Kihwele kama CEO bora tupe japo kiduchu hayo mafanikio yanayokusukuma kumpa sifa
 
mwanakijiji huyu walau ungempigia simu,SIO MHEHE MWENZIO HUYU!....?
mimi ni ndugu yangu kabisa huyu
 
Mara ya mwisho nilipodokeza juu ya kinachoendelea ndani ya Benki ya Posta kulisababisha baadhi ya watu kupoteza kazi zao. Hekima iliniita kuangalia jambo hili kwa namna tofauti tena. Nilitumaini mambo haya yangewaamsha watawala wetu kufuatilia na hatimaye kufanya mabadiliko yanayohitajika. Lakini wapi.

CEO wa Benki hiyo Bw. Alphonse Kihwele analalamikiwa kung'ang'ania madaraka yake hayo kwa kutumia vitisho na hata kudai mambo ambayo si ya kweli. Ripoti ya kwanza juu ya ufisadi chini yake ilidokezwa hapa miaka kama miwili iliyopita hivi.

Tunairudia tena ripoti ile hapa na kujiuliza hivi bado kuna mtu yeyote anayeweza kumuondoa huyo jamaa hapa au ndiyo hivyo tena?
Mkuu MM
Heshima kwako

Ukweli ni kwamba Kihwele alistaafu rasmi (Kwa lazima) Miaka 12 iliyopita,Baada ya hapo amekuwa akipewa mikataba ya miaka mitatu mitatu,Mkataba huu uliomalizika mwishoni mwa november ulipatikana baada ya kughushi barua ya Board of Directors,baada ya kashfa ya kughushi kujulikana kwa mama Zakia Meghji mambo yalikuwa yamchachie,kufa kufaana,wakati mchakato wa kuchunguza uhalali wa ukurugenzi wake,Mama Zakia aliachia ngazi,post akachua my friend Mkullo,Mkullo Akapigwa changa la macho kwa kupewa 50m za kugombea ujumbe wa NEC na kufumba macho kabisaaaaa.
Kwa ukweli ulioewazi CV ya utendaji mzuri acha uliotukuka hana
Kikubwa katika CV yake ni kwamba wakati anabaliki ndoa na Mke wake BEST MAN alikuwa Abson Mwang'onda (Fikilini wenyewe)

KWANINI MZEE ALPHONSE HAWEZI KUACHIA NGAZI.
kipato chake cha pension ni kidogo mno na hana mradi mbadala wa kuendesha maisha yake,isitoshe mamaa ni mdhaifu,kama mkimtoa Kihwele bank ya posta Mmeua.

Kihwele anajua nini anafanya piga au kwa hiari hatoki Benki Ya posta hata kama mkataba umekwisha.
Amekomba stahili hata zisizostahili zake kaanza upya,Zisizo stahili ni kwamba kihwele wakati yupo kwenye Mkataba na anlipwa Gratuity bado amekuwa akilipiwa michango kwenda taasisi ya Hifadhi ya Jamii,hii ina maana benki ya posta inamlipa Kihwele mara mbili,hili naye analijua na kwa ujanja alifanya haraka kudai malipo toka hifadhi ya jamii.

Kwa kweli pension anayopata inamtosha kununulia dawa ya viatu,mnafikiri mahitaji mengine ayatoe wapi.

BRAVO KIHWELE,ng'ang'ania baraka za benki
 
Nafikiri ww ni mmoja wa waliofaidi mapungufu ya kiungozi ya Kihwele Otherwise hakuna mtu anayewaza kwa kutumia kichwa na anaijua Benki ya Posta anaweza kumpa Kihwele Credit.Lakini wale wanaotumia moyo kuwaza na wale ambao walitumia udhaifu wa kiungozi wa kihwele kama Kajula wanaweza kumsifia hata ikibidi kufa.
Hebu katika kusanifisha sifa za Kihwele kama CEO bora tupe japo kiduchu hayo mafanikio yanayokusukuma kumpa sifa

Hiyo benki na service zake zina upungufu mkubwa sana

Ukilinganisha na benki zingine ambazo zilianza baadaye sana, kumbuka benki ya posta inawanachama nakumbuka mimi nina account aliyonifungulia mzee wangu wakati naenda sekondari ..lakini wameshindwa ku-retain hata wanafunzi tu shame on them.
 
mwanajijiji ..source yako wamekupa habari ya kuaminika kabisa..haina utata!!

si mmeona na mkullo ameshahongwa na kihwele? ..tuliwaambiaga hapa kuwa huyu mkullo hadi anapewa huo uwaziri na rafiki yake kikwete ..njaa ilikuwa inakaribia ...kumuua na kile kikampuni chake cha kufua nguo pale kwa mwanamboka....hawezi kuacha kuwa corrupt!!

only in tanzania can people like kihwele wanaendelea kuwa mtaani....
 
Dah mm na wasi wasi na hii kitu yawezekana inatumika kisiasa zaidi kuliko malengo makuu kuhusiana na Kihwele. anae ng'ang'ania madaraka ni Kihwele tu? vp uchapaji wake wa kazi? Maana ishu nyingine iwa zina ibuliwa lakini kuna sababu nyingine nyuma ya pazia. Ngoja tusubili.
 
MHURUMIENI MYALU... WA WATU

Jamani mhurumieni,yasemekana hana hata kibanda hapa town,anayonyumba moja mkoani Iringa aliyoipata kwa kubadilishana na Deni na kina Mwanyato,ambapo aliwakopesha mafedha ya benki akijua hawakopesheki then wakati wa kunadi nyumba iliyowekwa kama dhamana akanunua...
Sasa mnaotaka aondoke benki ya posta mnataka kaishi wapi.

ALPHONSE ! NAVALONGE SWELLA,BORA LAWAMA KULIKO FEDHEHA.
 
Mkuu MM
Heshima kwako

Ukweli ni kwamba Kihwele alistaafu rasmi (Kwa lazima) Miaka 12 iliyopita,Baada ya hapo amekuwa akipewa mikataba ya miaka mitatu mitatu,Mkataba huu uliomalizika mwishoni mwa november ulipatikana baada ya kughushi barua ya Board of Directors,baada ya kashfa ya kughushi kujulikana kwa mama Zakia Meghji mambo yalikuwa yamchachie,kufa kufaana,wakati mchakato wa kuchunguza uhalali wa ukurugenzi wake,Mama Zakia aliachia ngazi,post akachua my friend Mkullo,Mkullo Akapigwa changa la macho kwa kupewa 50m za kugombea ujumbe wa NEC na kufumba macho kabisaaaaa.
Kwa ukweli ulioewazi CV ya utendaji mzuri acha uliotukuka hana
Kikubwa katika CV yake ni kwamba wakati anabaliki ndoa na Mke wake BEST MAN alikuwa Abson Mwang'onda (Fikilini wenyewe)

KWANINI MZEE ALPHONSE HAWEZI KUACHIA NGAZI.
kipato chake cha pension ni kidogo mno na hana mradi mbadala wa kuendesha maisha yake,isitoshe mamaa ni mdhaifu,kama mkimtoa Kihwele bank ya posta Mmeua.

Kihwele anajua nini anafanya piga au kwa hiari hatoki Benki Ya posta hata kama mkataba umekwisha.
Amekomba stahili hata zisizostahili zake kaanza upya,Zisizo stahili ni kwamba kihwele wakati yupo kwenye Mkataba na anlipwa Gratuity bado amekuwa akilipiwa michango kwenda taasisi ya Hifadhi ya Jamii,hii ina maana benki ya posta inamlipa Kihwele mara mbili,hili naye analijua na kwa ujanja alifanya haraka kudai malipo toka hifadhi ya jamii.

Kwa kweli pension anayopata inamtosha kununulia dawa ya viatu,mnafikiri mahitaji mengine ayatoe wapi.

BRAVO KIHWELE,ng'ang'ania baraka za benki

Don't expect others to reciprocate your kindness. They'll just shit on you, and you'll inadvertently give them an edge over you.


 
Ndugu zake jamani si mumpage ushauri nasaha mzee huyu kwamba kila kitu kina mwisho wake. Anataka kufiaga ofisini au mbaka atimuliwe kwa katapila la konoike. Ni kweli bado tunamuonaga anakwenda ofisini kama kawa, mzee mtanashati kama nini suti kila siku licha ya joto la bongoland. Sasa hiyo kwamba hana hata kibanda dar ni kweli au kuzuga tu, aje nimpe banda langu la uani la vyumba vitatu ajisetirigi mwe swela asije akajitundika maana ndiyo jadi mwe. Na hao wakuu wake hilo wanalijua kuwa muda wake umekwisha au nao wanamwoneaga huluma jamani. Mzee mbona umesahau ule usemi wa kwetu kwamba SINA SIDA BE. Waachie bengi yao nawe uludi Ifunda upumusike mwe, unasubili upate plesha kama ya ndugu yako Balali, una pesa ya kwenda kufia ulaya kama mwensako ?? Haya wewe komaaga hifyo hifyo halafu vatakuaibisaga, si sambi sako mwenyewe.
 
Kuna ma-CEOs wa kampuni nyingi za umma hata mpige kelele za namna hawatang'olewa hata kidogo. Hii inatokana na mahusiano ya KIFISADI yaliyojengeka kati yao na mawaziri wa wizara mama za mashirika hayo kwa upande mmoja na upande mwingine ni michango mikubwa toka fedha za mashirika haya kwenda CCM hasa nyakati za Uchaguzi kama mwaka huu.
Mawaziri, manaibu wao na hata watendaji wakuu wa wizara husika wanahongwa mamilioni na ma- CEO hawa. Hali iko hivo wizara nyingi tu. Wizara ya Kazi na NSSSF yake; Wizara ya Maji na Mamlaka zake za Maji mijini; Wizara ya Fedha na mabenki ya umma yaliyobaki ikwemo BOT; Miundombinu na TANROADS; Nishati na Madini na TPDC, TANESCO,
Maliasili na TANAPA,......Tumekuwa tukishuhudia mawaziri wakijengewa majumba, mahoteli kama lile la LUNCHtime, wanapewa mamilioni kwenda kwenye kampeni majimboni kwao.
Ni kazi ngumu sana kumwondoa Kihwele wa Posta kama ilivyo kwa akina Kilaghane wa TPDC, Mutalemwa wa DAWASA, Dau wa NSSF, Masebu wa EWURA,......
 
WildCat,

Sasa nimeelewa. Nilisahau kama huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu. Ukisoma post za huko nyuma utaona kanukuliwa kumchotea Mkulo 50m za kampeni ya NEC. Sasa tena na mafuriko ya Kilosa jimboni kwa Mkulo, loo, wizara haiwezi kumwndoa ili amsaidie kutoa misaada imjengee jina kwa ajili ya uchaguzi mkuu. Loo, watu wana akili kweli kweli. Anayebisha hili atakuwa hajui siasa za nchi hii huyo mzee yupo kwa maslahi ya wakubwa hadi warudi madarakani. Si na mimi anigawie kidogo nigombee jimboni kwangu maana wazee bila kuwapa komoni hawaelewi kitu. Wanasema sawa mtoto wa mzee fulani tunakujua vizuri na baba yako tuko naye kwenye vikao vyetu vya kila siku, lakini mkono mtupu haulambwi mwana.

Mwakihwele, komaaga hifyo hifyo mwakwetu, lakini si sambi sako mwenyewe. Mi' simo.
 
We have a very serious problems, if not concerns. We should came to out senses "a leadership is not by interest it is actually by merit". As a young Tanzanian i'm confused, just to say. The guys in power today they were there, when we were not born. Actually they were the freedom fighters! Thus, this mean they are still fighting for their freedom? If this is the case we have to got up and fight for our freedom.
 
Dah! mkubwa inatosha ........ jamaa anawaumiza sana staff wenzake pale TPB hasa wadada usiseme .............
 
Mkuu MM
Heshima kwako

Ukweli ni kwamba Kihwele alistaafu rasmi (Kwa lazima) Miaka 12 iliyopita,Baada ya hapo amekuwa akipewa mikataba ya miaka mitatu mitatu,Mkataba huu uliomalizika mwishoni mwa november ulipatikana baada ya kughushi barua ya Board of Directors,baada ya kashfa ya kughushi kujulikana kwa mama Zakia Meghji mambo yalikuwa yamchachie,kufa kufaana,wakati mchakato wa kuchunguza uhalali wa ukurugenzi wake,Mama Zakia aliachia ngazi,post akachua my friend Mkullo,Mkullo Akapigwa changa la macho kwa kupewa 50m za kugombea ujumbe wa NEC na kufumba macho kabisaaaaa.
Kwa ukweli ulioewazi CV ya utendaji mzuri acha uliotukuka hana

Kikubwa katika CV yake ni kwamba wakati anabaliki ndoa na Mke wake BEST MAN alikuwa Abson Mwang'onda (Fikilini wenyewe)

KWANINI MZEE ALPHONSE HAWEZI KUACHIA NGAZI.
kipato chake cha pension ni kidogo mno na hana mradi mbadala wa kuendesha maisha yake,isitoshe mamaa ni mdhaifu,kama mkimtoa Kihwele bank ya posta Mmeua.

Kihwele anajua nini anafanya piga au kwa hiari hatoki Benki Ya posta hata kama mkataba umekwisha.
Amekomba stahili hata zisizostahili zake kaanza upya,Zisizo stahili ni kwamba kihwele wakati yupo kwenye Mkataba na anlipwa Gratuity bado amekuwa akilipiwa michango kwenda taasisi ya Hifadhi ya Jamii,hii ina maana benki ya posta inamlipa Kihwele mara mbili,hili naye analijua na kwa ujanja alifanya haraka kudai malipo toka hifadhi ya jamii.

Kwa kweli pension anayopata inamtosha kununulia dawa ya viatu,mnafikiri mahitaji mengine ayatoe wapi.

BRAVO KIHWELE,ng'ang'ania baraka za benki

Huu ndiyo ukweli wa mambo basi. Mkimwondoa pale benki, mumeua. Ila jamani naona huruma, jana magazeti yametangaza nafasi yake na ninavyojua mimi hawezi tena kuomba akapewa. JAMANI MUMEUA. Ila kashfa alizozianika mwanzo kabisa Mzee Mwanakijiji zifanyiwe kazi, haitoshi kumwaondoa yakaisha.

Ila jamaa kwa kujihami hajambo, kila anayemkatalia mambo yake ya ubabe na maamuzi mabovu na kukataa kujiunga kwenye mtandao wake wa ufisadi huko benki - anapigwa uhamisho mikoani. Nikatonywa na vyanzo vya ndani yuko tayari kuunda nafasi ambazo wala hazipo benki ili mradi tu majamaa yaondoke mbele ya macho yake. Ikishindikana, anawafukuza kazi. Naambiwa juzi juzi tu kafukuza kazi madereva wawili ambao ni wajumbe wa TUICO kwa kubishana naye kwa uhamisho wa mikoani ambako hakuna magari eti wakawe mamesenja badala ya udereva. Mhasibu mmoja naye huyo - kahamishiwa mkoa wa Kanda ya ziwa, kisa ??? Kahoji uhamisho wa madereva hao. Wale wakurugenzi aliowasimamisha kazi 2008 ndiyo kwisha kabisa, kawamaliza kabisa kawawka benchi wanasoma magazeti tu na masters zao, kisa??? kutomkubalia mambo yake au anawaogopa kuwa watachukua nafasi yake. Halafu kwa African medicine ndiyo usiseme ila kawakuta majamaa hayo nayo mazima maana wanakotoka hakuna mchezo, laa sivyo angeisha "wakolimba" zamani.

Jamani Mwakihwele mwe !!!! hiso sambi sako utakuja jibu nini siku ya kiama ??
 
Back
Top Bottom