Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 11,304
- 14,151
Yaani wangewajengea shule ya msingi kwanza ili wapate elimu ya msingi huku wakifundisha nguvukazi mbalimbali kama ufundi wa aina mbali mbali na kugundua vipaji vyao vya michezo muziki nk.Kama wanafanya hivyo ni makosa makubwa kwani uislamu unaoinga vikaoi tabia ya mtu kuombaombq na kutojitafutia riziki yake halali.
Kuliko hii hali.
Utashangaa wakiwaombea misaada Uarabuni hawapati. Waarabu wanapenda kujenga misikiti tu bila kuthamini hali ya waumini wao hapo baadae.
Hawa vijana lazima wataleta shida baadae.