kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,319
- 12,622
Jamani msemaji wa timu sio MC kuwa unaweza kusema chochote. Ally Kamwe alisikika akisema wachezaji wa akiba wa timu ya Yanga ndio waliocheza na kupata ushindi dhidi ya TP Mazembe kule DR Congo baada ya kukosekana Aziz, Morrison, Diara, Aucho na DJuma kwenye kikosi.
Ni kweli waliocheza ni wachezaji wa akiba? Kusema hivyo ni sawa kwa Yanga, wachezaji na mashabiki wa Yanga? Hayo ni mawazo yake au hata Benchi la Ufundi na Uongozi unaona hivyo?
Ni kweli waliocheza ni wachezaji wa akiba? Kusema hivyo ni sawa kwa Yanga, wachezaji na mashabiki wa Yanga? Hayo ni mawazo yake au hata Benchi la Ufundi na Uongozi unaona hivyo?