Na pia DPP Feleshi (mtu wa mamvi na kawekwa na mamvi) mpuuzi sana kwa kuchukua civil case baina ya NGO na kampuni na kuifanya criminal kwa dhana potofu na ya ulafi wa kupewa hela, yeye na ma polisi wa kanda kina Msangi wa pale Sentro.
DPP badala ya kuhangaika na kesi za mafisadi wanaotafuna nchi kutwa anahangaika na hiki ki-case mbuzi....haingii akilini. Ila mwisho wa haya yote uko mbioni.
DPP badala ya kuhangaika na kesi za mafisadi wanaotafuna nchi kutwa anahangaika na hiki ki-case mbuzi....haingii akilini. Ila mwisho wa haya yote uko mbioni.