Hii ni cheap popularity at work. Kitu lilifukuzwa kazi kutokana na uzembe Leo mnaliita kamanda, poor you machadema
karibu kwenye jeshi la ukobozi mr kimoloKatika hali ya kuonyesha CCM hapako shwari leo mkuu wa Wilaya Gabriel Kimolo amevua gamba na kuvaa Gwanda hii leo ni kwenye Kongamano linaloendelea muda huu katika hotel ya Land mark ambapo wangeni rasmi ni Tundu Lisu, Mnyika, Lema, Msigwa, Heche na Kilewo.
Akiongea na watanzania waliojana kwenye kongamano hilo Kimolo amesema CCM inakufa na kuna kila ishara za CCM kufa mfano kuuwa waandishi wa habari, kutesa wana harakati, kutumia nguvu nyingi kuzoofisha upinza hasa CHADEMA pia amewaomba watanzania kujiunga na chadema kwani kwasasa ni tumaini la watanzania na kuna kila ishara kuwa inaenda kuongoza nchi...
Nawasilisha
============
Gabriel Kimolo, alijiuzulu mwezi Mei 2012 (Ref https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/262111-mkuu-wa-wilaya-ya-mbozi-atangaza-kujiuzulu.html ) kufuatia madai kuwa alikuwa akikejeliwa na wafanyabiashara wakimwita Mbwa!
===============
==================
Acha kupotosha umma wewe kima,,,, huyu alijiudhuru kwa hiari yake mwenyewe aliona hakuna haja ya kukaa kwenye chama cha wahuni na wabakaji.
kweli ktk kikundi cha wajinga ndani yake pia kunamjuaji. nahisi kunamtu alikuwa anakupumulia kisogoni kipindi unapost.Kila wenye akili timamu wataendelea kuikimbia ccm na kuukataa ufisadi
hata aibu huoni hivi unafikiri BABU asingetemwa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea ubunge ndani ya CCM angehama?? thank big kijana usifikiri unaongea na watu wepesi hapa tuna full info za nchi hii huyo aliondoka baada ya kuona hayumo kwenye orodha mpya leo CHADEMA mnamuona mfalme wenu lolAcha kupotosha umma wewe kima '',,,huyu wala hakutemwa bali alijiudhuru kwa hiyari yake mwenyewe baada ya kuona hakuna haja ya kubaki kwenye chama cha wabakaji na kuwatumikia wauza unga na majangili wa tembo.
psyuuuuuuuuuuuu huyo sio mkuu wa wilaya usitsfute kick hapa alishamwagwa kwa sababu za uzembe kaona maisha magumu kakimbilia huko uchagani hivi mkuu wa wilaya kwa akili za kawaida anaweza acha mkate wake na kuja kurubuniwa na malaghai kama akina lisu na mnyika?? acheni porojo na ndoto za alinacha bavicha ccm imemwaga kwenye udc kimolo siku nyiingi kwa uzembe wake hana jipya wala impact kwa CCM mmefulia wanakaskazini wa kichaga tafuteni lingine
Aidha, inaelezwa kuwa Bw. Kimolo amekuwa ni mtu wa karibu sana na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kwamba kitendo chake cha kujiuzulu kina baraka kutoka kwa kiongozi huyo mstaafu ambapo katika ziara yake aliyoifanya hivi karibuni wilayani Momba katika mji mdogo wa Tunduma, aliteta naye jambo muhimu
hii nayo kali, alikuwa bado anafanya kazi kama mkuu wa wilaya?
Mtei naskia ana laana ya nyerere
Kwa mujibu wa mabango ya kigoma ya jana yanayopinga ziara ya slaa
mpaka kuandika umeshindwa sizitaki mbichi hizi angetemwa ukuu wa wilaya?? amekuja kukidhi njaa tu huyo
ha ha ha ha nasikia babu akicheleweshewa pay anafoka na kuropoka matusi mazito kabisaha ha ha ha .............kijana usifikiri nje ya boksi msingi wa binadamu ni kula vyote tufanyavyo duniani ni harakati za tumbo ndo mana babu yako ikifika kwenye suala la posho anakuwa mkali mno usichezee pesa wewe