MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,174
Ndugu qwenzangu wa Jamvini, naomba wale wote waliowahi pata kazi kupitia kuziona humu Jamvini wadhibitishe kwa maneno yao na ni wapi huko ili watu tusiwe tunasumbuka kusambaza CV zetu bila mafanikio.