Diamond anajua kujitengenezea Matukio ili kuzidi ku trend. Hata tukio la kuporwa kofia juzi ni la kutengeneza. Ukiangalia uchukuaji wa video utagundua ni movie tu, yaani pale alikosekana tu yule anayesema " Action!!!".
Na hata baada ya Diamond kuingia ndani ya gari nakuanza kuchukuliwa video utamuona anapoongea na kulalamika alionekana kumuangalia mchukuwa video kwa kuibiaibia halafu anafoka na kumuelekeza Onesmo kuhakikisha anarudi na kofia ile.
Japo amefanikiwa na ime trend sana.
Najipongeza kwa kuwa nipo katika kundi dogo sana la watu makini wasiodanganyika kirahisi.
Na hata baada ya Diamond kuingia ndani ya gari nakuanza kuchukuliwa video utamuona anapoongea na kulalamika alionekana kumuangalia mchukuwa video kwa kuibiaibia halafu anafoka na kumuelekeza Onesmo kuhakikisha anarudi na kofia ile.
Japo amefanikiwa na ime trend sana.
Najipongeza kwa kuwa nipo katika kundi dogo sana la watu makini wasiodanganyika kirahisi.