Aliyeozeshwa mtoto ahukumiwa miaka 30 Jela

Ulikuwa hujui kuoa mtoto ni kosa kisheria? Wewe unachukuliaje mtoto wa miaka 14 kuolewa?
Ni kweli ni kosa kisheria kuoa/kumuozesha mtoto wa miaka 14,
Lakini huyo bibi harusi hakujioza yeye mwenyewe kuna watu waliohusika kufanikisha hiyo ndoa mbona hawakukamatwa?

Iweje bwana harusi akamatwe afungwe peke yake? wakati kuna watu zaidi ya 7 ambao wamehusika moja kwa moja kufanikisha zoezi zima la ndoa?

A--mshenga amepeleka posa kwa wazazi wa binti ambaye ni under 15 ambapo ni kosa kisheria.
B--wazazi wa binti wamekubali posa na kumuoza binti yao akiwa under 15 ambapo ni kosa kisheria.
C--shehe aliyekubali kuozesha binti Under 15 akijuwa ni kosa kisheria kuozesha binti under 15.
-bwana harusi alyeoa na kuishi na binti under 15 ambapo ni kosa kisheria kuoa binti under 15.

Huoni kama kesi imewaacha watuhumiwa wengine uraiani na kumkamata bwana harusi peke yake?

Ndy nikasema huu ni upuuzi mwingiine wa police na mahakama.
 
Ni kweli ni kosa kisheria kuoa/kumuozesha mtoto wa miaka 14,
Lakini huyo bibi harusi hakujioza yeye mwenyewe kuna watu waliohusika kufanikisha hiyo ndoa mbona hawakukamatwa?

Iweje bwana harusi akamatwe afungwe peke yake? wakati kuna watu zaidi ya 7 ambao wamehusika moja kwa moja kufanikisha zoezi zima la ndoa?

A--mshenga amepeleka posa kwa wazazi wa binti ambaye ni under 15 ambapo ni kosa kisheria.
B--wazazi wa binti wamekubali posa na kumuoza binti yao akiwa under 15 ambapo ni kosa kisheria.
C--shehe aliyekubali kuozesha binti Under 15 akijuwa ni kosa kisheria kuozesha binti under 15.
-bwana harusi alyeoa na kuishi na binti under 15 ambapo ni kosa kisheria kuoa binti under 15.

Huoni kama kesi imewaacha watuhumiwa wengine uraiani na kumkamata bwana harusi peke yake?

Ndy nikasema huu ni upuuzi mwingiine wa police na mahakama.
Aliyekuwa anamwingilia kimwili huyo binti ni nani katika hilo kundi?
 
Kuna mtu maarufu mmoja angeishi miaka hii ni lazima angechezea kifungo cha miaka 30 au zaidi.
Yeye alioa katoto kachanga kabisa ka miaka 6.
🤣🤣🤣🤣🤣 Sijataja jina la mtu tafadhalini 🙌🙌🙌
 
Ni kweli ni kosa kisheria kuoa/kumuozesha mtoto wa miaka 14,
Lakini huyo bibi harusi hakujioza yeye mwenyewe kuna watu waliohusika kufanikisha hiyo ndoa mbona hawakukamatwa?

Iweje bwana harusi akamatwe afungwe peke yake? wakati kuna watu zaidi ya 7 ambao wamehusika moja kwa moja kufanikisha zoezi zima la ndoa?

A--mshenga amepeleka posa kwa wazazi wa binti ambaye ni under 15 ambapo ni kosa kisheria.
B--wazazi wa binti wamekubali posa na kumuoza binti yao akiwa under 15 ambapo ni kosa kisheria.
C--shehe aliyekubali kuozesha binti Under 15 akijuwa ni kosa kisheria kuozesha binti under 15.
-bwana harusi alyeoa na kuishi na binti under 15 ambapo ni kosa kisheria kuoa binti under 15.

Huoni kama kesi imewaacha watuhumiwa wengine uraiani na kumkamata bwana harusi peke yake?

Ndy nikasema huu ni upuuzi mwingiine wa police na mahakama.
Kosa ni kubaka under 18. Angeweza kusema abakie kwao hadi atakapo timiza miaka 18.
Hapa kosa ni la Ubakaji.
Siju labda alikuwa anafuata matendo mema ya Kiongozi wake Mkuu wa Imani.
 
Huu nao ni upuuzi mwingiine wa police na mahakama, zetu.
Unamfunga mwanaume aliyeoa binti wa miaka 14,

Lakini wazazi wa binti na shehe aliyeozesha hiyo ndoa wapo uraiani.
Sasa Given Michael n Shekh wapi na wapi? Punguza prejudice
 
Ni kweli ni kosa kisheria kuoa/kumuozesha mtoto wa miaka 14,
Lakini huyo bibi harusi hakujioza yeye mwenyewe kuna watu waliohusika kufanikisha hiyo ndoa mbona hawakukamatwa?

Iweje bwana harusi akamatwe afungwe peke yake? wakati kuna watu zaidi ya 7 ambao wamehusika moja kwa moja kufanikisha zoezi zima la ndoa?

A--mshenga amepeleka posa kwa wazazi wa binti ambaye ni under 15 ambapo ni kosa kisheria.
B--wazazi wa binti wamekubali posa na kumuoza binti yao akiwa under 15 ambapo ni kosa kisheria.
C--shehe aliyekubali kuozesha binti Under 15 akijuwa ni kosa kisheria kuozesha binti under 15.
-bwana harusi alyeoa na kuishi na binti under 15 ambapo ni kosa kisheria kuoa binti under 15.

Huoni kama kesi imewaacha watuhumiwa wengine uraiani na kumkamata bwana harusi peke yake?

Ndy nikasema huu ni upuuzi mwingiine wa police na mahakama.
Kabisa wote hao ilitakiwa kuchukuliwa hatua for ‘abetting’ the crime hasa wazazi wa huyo binti.

Iła pongezi kwa hukumu ni kwa mtindo wa hukumu kali kama hizi ndio watu wataelewa somo.
 
Kabisa wote hao ilitakiwa kuchukuliwa hatua for ‘abetting’ the crime hasa wazazi wa huyo binti.

Iła pongezi kwa hukumu ni kwa mtindo wa hukumu kali kama hizi ndio watu wataelewa somo.
Hukumu haipo sawa sababu kesi ya shambulio la aibu haina kifungo cha maisha wala kifungo kirefu.
 
Sasa Given Michael n Shekh wapi na wapi? Punguza prejudice
Kwani Michael hawezi kuoa binti wa kiislam?
Au unajuwa huyo binti aliyeolewa ni dini gn?

Lengo ni kuelezea kwamba kama ameoa kwa shehe au kanisani basi wahusika waliofungisha ndoa wakamatwe...
 
Kosa ni kubaka under 18. Angeweza kusema abakie kwao hadi atakapo timiza miaka 18.
Hapa kosa ni la Ubakaji.
Siju labda alikuwa anafuata matendo mema ya Kiongozi wake Mkuu wa Imani.
Ni sawa kosa la ubakaji lakini alishirikiana na mshenga kupeleka posa,
Wazazi walikubali mtoto under 15 aolewe,

Pandi/shehe alikubali kufungisha ndoa akijuwa kwamba binti yupo Under 15..

Kwann wasikamatwe?

Kama mtu akiuawa ,, police wanakamata wote waliohusika kwa njia moja au ingine ktk mauaji hayo,,
Sasa kwann na hao waliosababisha binti akabakwe wasikamatwe?
 
Kwani Michael hawezi kuoa binti wa kiislam?
Au unajuwa huyo binti aliyeolewa ni dini gn?

Lengo ni kuelezea kwamba kama ameoa kwa shehe au kanisani basi wahusika waliofungisha ndoa wakamatwe...
Hakuna sheikh atadungisha ndoa ya muslim girl na Christian man. Acha kuobgozwa na hisia
 
Ulikuwa hujui kuoa mtoto ni kosa kisheria? Wewe unachukuliaje mtoto wa miaka 14 kuolewa?
Kwa mujibu wa sheria ya ndoa Tz,binti wa miaka 14 ana ruhusiwa kuolewa kwa ruhusa maalumu ya wazazi wake ila asiwe mwanafunzi.
 
Adhabu nzito wanapewa wasiostahili. Miaska 30 inawafaa mafisadi.
 
Back
Top Bottom