Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Hatimaye Rapa Chid Benz leo amefanikiwa kupata dhamana na kutolewa rumande na kurejea uraiani.
Kwa masikitiko makubwa kabisa na dhubutu kusema anaye mmaliza na kumfuta chid benz kwenye ramani ya music au hata maisha yake ni huyo aliyeenda kumwekea dhamana.
Kama alikuwa anasikia kupitia watu kuwa Chid ni teja kitendo kile cha kudakwa live air port kulidhibitisha na kufuta ubishi wa miaka mingi ni kwa nini asingemwacha rumande ili apate muda wa kupumzisha damu then akitoka gerezani moja kwa moja akapatiwe matibabu?
Kwa upande wangu naona huyo aliyemwekea dhamana ni kama amemkatia tiketi ya kifo tu wala sioni msaada wake!
Ni hayo tuu.
Kwa masikitiko makubwa kabisa na dhubutu kusema anaye mmaliza na kumfuta chid benz kwenye ramani ya music au hata maisha yake ni huyo aliyeenda kumwekea dhamana.
Kama alikuwa anasikia kupitia watu kuwa Chid ni teja kitendo kile cha kudakwa live air port kulidhibitisha na kufuta ubishi wa miaka mingi ni kwa nini asingemwacha rumande ili apate muda wa kupumzisha damu then akitoka gerezani moja kwa moja akapatiwe matibabu?
Kwa upande wangu naona huyo aliyemwekea dhamana ni kama amemkatia tiketi ya kifo tu wala sioni msaada wake!
Ni hayo tuu.