TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Tangu mwanzo tulihoji Makonda kumchongea mtu ambaye toka December mwaka Jana yuko kitandani.....na alishaandika barua kustaafu Kwa ugonjwa ...na hakuweza kujibu tuhuma juu yake ....Ina maana tuhuma zilikuwa za upande mmoja...hata Kama ni kweli lakini rule of natural justice zinasema wazi alikuwa na Haki ya kusikilizwa.....


kuumwa isiwe excuse ya kupewa hukumu,,,,watu huugua na hupona watu huugua na kufa nini kigeni....pole kwa wafiwa na kama alikua mgonjwa wa siku nyingi msihuzunike sana ni mipango ya mungu
 
OKW BOBAN SUNZU JF-Expert Member
#118
Apr 10, 2016

Joined:Aug 24, 2011
Messages:15,479
Likes Received:1,553
Trophy Points:113
Kama nilivyoweka angalizo kwa January na haikutokea,naweka pia kwa waziri Charles Kitwanga.Huyu ni msiri wa
Dr.Magufuli na ndiye
aliyeonekana katika video clip
moja akimshauri Dr Magufuli
"achukue fomu". Kweli
Dr.Magufuli "alichukua fomu" na sasa ni mkuu wa nchi.Nakwambia huyu haguswi,mtatumbuliwa nyie waajiriwa.Huyu akitumbuliwa mimi hapa natembea uchi Dar nzima.Tuliwaambia matatizo hayawezi kumalizwa na watu walioyasababisha

HAHAHAHAAHAHH MKUU ILA HUKUAINISHA KWENYE HII POST YAKO
Namsubiri Magomeni Mwembechai huyu OKW BOBAN SUNZU akipita uchi barabarani, na tumshangilie!!!!
 
Asante kwa taarifa Mkuu, ila huyu mtu hakutumbuliwa mwezi Mei, kumbukumbu zinaniambia alitumbuliwa mwezi April.
 
Kabwe amefia hapa Dar es salaam ,ostabey baada ya kutoka India, anasafirishwa Jumanne kwenda mpinji kwa mazishi. Na kwa yeyete anayetaka kwenda kuna magari ya bure kwenda na kurudi.
Nayetaka kwenda ani PM
 
RIP
Ila kifo kipo tu wala huwezi ku ki suspend.
Sasa wewe nenda Muhimbili utaona maiti teleee,sasa iweje yeye awe ni wa kipekee.
Muhim ni kumuombea tu
 
naona mafisadi wengi mwaka huu lazima wateseke Sanaa na adhabu yao ni kifo tuu
 
Sasa hivi ukitumbuliwa,anza kuandaa kaburi lako, budget ya maziko yako na unda kamati ya mazishi yako! Ufisadi ufanye wewe, kufa usumbue wengine.pumbavu
 
'Shock' ni moja ya kisababishi kikubwa sana cha magonjwa na kifo kwa binadamu coz hupelekea 'stress'. Kupunguza hali hiyo wataalamu wa raslimali watu walikuja na neno "SIRI"katika baadhi ya mawasiliano kazini. Barua za uteuzi, kupandishwa cheo, kupewa onyo, kusimamishwa kazi, kufukuzwa kazi, kujibu charge za kinidham kiutaratibu ni "SIRI" Hiyo imewekwa kitaalamu ili kupunguza psychological shock kwa mlengwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom