Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 4,621
- 1,706
Gaidi naye kakosa dhamani, duh.
Gaidi ni nani, mtaje jina.
Au Kanana?
Gaidi naye kakosa dhamani, duh.
Huyo dogo Magafu unamfahamu ama onaongea tu??? Jay hapo vipi? Sugu rais wa mbeya!Hivi kweli unaweza kumlinganisha mwanasiasa MAGAFU na mwanamuziki aliyefulia JOSEPH MBILINYI?
Mwita huwa unapiga mswaki?Huyo salia alishafukuzwa uanachama siku nyingi lakini bado tu anajitahidi kutembelea nyota ya Chadema.
Kila la kheri huko nccr manunuzi.
Mwita huwa unapiga mswaki?
27 May 2013
CHADEMA wapata pigo Sengerema
Na Mwandi shi We tu, Sengerema
ALIYEKUWA Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( BAVI CHA) , mk o a n i Mwanza, Bw. Slavatory Magafu, amekihama chama hicho na kujiunga Chama cha NCCR-Mageuzi.
Bw. Magafu alijiunga na chama hicho juzi wakati wa kampeni za kumnadi mgombea udiwani katika Kata ya Nyampulukano, wilayani Sengerema, Bw. Dotto Nungwa.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa kadi ya NCCR-Mageuzi,Bw. Magafu alisema ame b a i n i CHADEMA hakiwezi kuifikisha nchi katika mikono salama.Mwaka 2010 niliwania ubunge wa jimbo hili kwa tiketi ya CHADEMA, hivi sasa nimejiunga rasmi NCCR-Mageuzi chama ambacho hakina udini, ukabila wala ukanda, alisema.
Kwa upande wake, Bw. Nungwa aliahidi kuwasaidia wananchikwa kumaliza kero zao na kuhakikisha wanashiriki mikutano yakata na vijiji pamoja na kusomewa
mapato na matumizi.
N i t a h a k i k i s h a namfuatilia mbunge wa jimbo hili ili fedha za Mfuko wa Jimbo zinufaishe wananchi wa Kata ya Nyampurukano na kuwasaidia wananchi waliodhulumiwa viwanja vyao ili warudishiwe, alisema.
Viongozi wengine ambao hivi karibuni wamejiunga na NCCR-Mageuzi ni Bw. Eddo Makata aliyekuwa Katibu wa CHADEMA, Mkoa wa Mbeya na Bw. Deogratius Kisandu aliyekuwa Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Tanga.
Kampeni hizo za udiwani zinaoongozwa na Katibu wa Habari na Uenezi Taifa, Kitengo cha Vijana wa NCCR-Mageuzi, Bw. Kisandu pamoja na Kamishna wa chama hicho Mkoa wa Mwanza, Bw. Ramadhan Amran
Na Said Hauni.
Hivi kweli unaweza kumlinganisha mwanasiasa MAGAFU na mwanamuziki aliyefulia JOSEPH MBILINYI?
Bora hata umeondoka ameondoka kwa sababu wapiga kura wa Jimbo la Sengerema hawakuridhishwa na hatua yake ya kuhongwa na William Ngeleja pesa ya kutosha na kuamua kukosea kwa maksudi kujaza fomu ya mgombea na kuwekewa pingamizi. Pia tunajua umeamua kujitoa baada ya kusikia Mhe. Tabasamu katangaza nia ya kugombea Jimbo la Sengerema kupitia CDM hivyo ukajua huna nafasi tena kwa watu wa Sengerema. Huo ni mpango wa mungu na kutuepusha na viongozi viiyo wapenda pesa kuliko maslahi ya wananchi.27 May 2013
CHADEMA wapata pigo Sengerema
Na Mwandi shi We tu, Sengerema
ALIYEKUWA Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( BAVI CHA) , mk o a n i Mwanza, Bw. Slavatory Magafu, amekihama chama hicho na kujiunga Chama cha NCCR-Mageuzi.
Bw. Magafu alijiunga na chama hicho juzi wakati wa kampeni za kumnadi mgombea udiwani katika Kata ya Nyampulukano, wilayani Sengerema, Bw. Dotto Nungwa.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa kadi ya NCCR-Mageuzi,Bw. Magafu alisema ame b a i n i CHADEMA hakiwezi kuifikisha nchi katika mikono salama.Mwaka 2010 niliwania ubunge wa jimbo hili kwa tiketi ya CHADEMA, hivi sasa nimejiunga rasmi NCCR-Mageuzi chama ambacho hakina udini, ukabila wala ukanda, alisema.
Kwa upande wake, Bw. Nungwa aliahidi kuwasaidia wananchikwa kumaliza kero zao na kuhakikisha wanashiriki mikutano yakata na vijiji pamoja na kusomewa
mapato na matumizi.
N i t a h a k i k i s h a namfuatilia mbunge wa jimbo hili ili fedha za Mfuko wa Jimbo zinufaishe wananchi wa Kata ya Nyampurukano na kuwasaidia wananchi waliodhulumiwa viwanja vyao ili warudishiwe, alisema.
Viongozi wengine ambao hivi karibuni wamejiunga na NCCR-Mageuzi ni Bw. Eddo Makata aliyekuwa Katibu wa CHADEMA, Mkoa wa Mbeya na Bw. Deogratius Kisandu aliyekuwa Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Tanga.
Kampeni hizo za udiwani zinaoongozwa na Katibu wa Habari na Uenezi Taifa, Kitengo cha Vijana wa NCCR-Mageuzi, Bw. Kisandu pamoja na Kamishna wa chama hicho Mkoa wa Mwanza, Bw. Ramadhan Amran
Na Said Hauni.
Hivi kweli unaweza kumlinganisha mwanasiasa MAGAFU na mwanamuziki aliyefulia JOSEPH MBILINYI?
Huyu namjua vizuri nimesoma nae darasa moja pale UDSM ni garasa tu mchumia Tumbo...Poor Magafu.
vijana wasaliti wanaofukuzwa wanajigeuzia kibao eti wamehamia chama fulani kumbe kuwa chadema ni ujiko na heshima kwa jamii sasa fujo za nini
Magamba komaeni na mapovu yenu kwa kuishi kwa buku saba za meno ya tembo,kinana na nepi wapo njombe wameenda kusavey mzigo mwingine ili mnenepe kwa vipost uchwara vyenu humu jukwaani.....wale ni wasema kweli, nyie ndio wasaliti...kauli zao hazijakanushwa hadi leo, kama mna ujasiri jitokezeni hadhani pingeni tuhuma zao kwenu
na pembe za ndovu nazo zinapukutika,madini yanapukutika,mwangosi amepukutika ,elimu imepukutika. Ccm inanawiri
Vp wewe umepona ule ugonjwa unaokutafuna???Mwita huwa unapiga mswaki?
na pembe za ndovu nazo zinapukutika,madini yanapukutika,mwangosi amepukutika ,elimu imepukutika. Ccm inanawiri
Watakwisha na mtabakiwa na watu waliathirika kisaIkolojia, MAPADRE, WACHUNGAJI, WANAMUZIKI, MAJAMBAZI
na pembe za ndovu nazo zinapukutika,madini yanapukutika,mwangosi amepukutika ,elimu imepukutika. Ccm inanawiri
Kama kumbukumbu zangu zipo vizuri, ni kwamba huyu Magafu alifukuzwa uanachama wa CHADEMA tangu mwaka jana. Inachekesha kuona eti mwandishi wa habari anasema chadema imepata pigo. Imepata pigo kwa mwanachama ambaye ilishamtema siku nyingi? Hawa akina magafu ni Shonza na Mwampamba type. Hawana lolote.chadema inazidi kupukutika.
Mwita huwa unapiga mswaki?
Acheni basi matani ya kweli kamanda.