pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Eti kwamba ni mkenya hata kama mahakama zilithibitisha(zote mbili ikiwemo mahakama kuu nchini Kenya) wazi kwamba yeye ni mtanzania? Kisa tu ana majina ya kijaluo? Tena jamaa amekuwa akiishi nchini kwake Tz, kisiri siri tangia serikali ya Kenya iamrishe kwamba arejeshwe Tz.Huyo Mkenya Kama ameshinda kesi sawa,
Atalipwa hela yake, but when ? Not guaranteed. He will probably die hopping that payment is coming tomorrow
Hii ndio bongo.
Yule mzungu alishirikiana na mahakama corrupt kule Guateng SA anadai madeni ya wakati wa Nyerere, na ndege iliachiwa kwa maneno tupu pasi ya malipo ya shilingi 100.
Raia ambaye hajielewi kama wewe ndio anaweza akashabikia serikali yake inapomdhulumu raia mwenzake wazi wazi. Kesho utasikia wanakamatwa mzazi au ndugu yako wa damu na kumtendea haya haya anayoyapitia Anudo. Ashakum si matusi ila nyie majirani ni maiti tu, kama alivyosema Mzee Kenyatta enzi zile za Mwalimu Nyerere na sera zake za ujamaa.