figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Suleiman Kova kasema wale majambazi yalio muua mke wa mchina maeneo ya kurasini tarehe 11/10/2011 wamekamatwa. Huyu mchina mwenyewe aliye uwawa ndo yule aliye sababisha wachina waandamane kwa magari zaidi ya 100 jijini dar es salaam.
Source itv. Mia
Source itv. Mia