Haha..mpaka akageuza spika na 'risiva'!..lol!...hiyo pc huko nyuma imeharibu u'photoshop'!
anashangaa jinsi allah alivyomdhaifu kiasi cha kushindwa kumlinda kamanda wake wa jihada!!..... lol
Hivi wewe ni mwanamme kweli? Allah hahitaji kamanda hapa duniani. Waijuwa maana ya Jihad? Au wajisemea tu? Wafikiri Allah ni mungu aombae kusaidiwa? Au atakae msaada?
Allah akisema "kuwa" huwa. Na kama Binladen ni ishara ya uIslaam basi imetimia. Dollar Trillion 3, Maelfu ya maaskari, mamilioni ya wafuasi na vibaraka kama wewe, kwa ajili ya mtu mmoja tu! Hayakushangazi hayo? Ngoja waje wengine kumi tu. Utajiju. Looo.
Mrdash1 unashangaa Mungu kushindwa kumlinda bin Laden?hukushangaa aliposhindwa kumlinda mwanae wa pekee?