Kutoka kwenye data za Forbes zilizochapishwa mwezi huu, Mnigeria Aliko Dangote sasa ni muafrika tajiri kuliko wote, utajiri wake ni bilioni 13.8 billion as of March 2011, na ranking yake ni 51st Duniani.
Just imagine, ingawa Nigeria ni 'Third world' utajiri wa dangote unazidi hata wa richest wa uingereza , Duke of Westminster (Gerald Cavendish Grosvenor) ambaye utajiri wake ni $13 billion. Vile vile Utajiri wa Dangote unazidi kuongezeka, anajenga viwanda vya cement, karibu nchi 10 za afrika sasa, yeye ni biggest african investor in south afrika.
Uzuri wa huyu jamaa, anaweka pesa zake afrika, tru pan africanist!
Just imagine, ingawa Nigeria ni 'Third world' utajiri wa dangote unazidi hata wa richest wa uingereza , Duke of Westminster (Gerald Cavendish Grosvenor) ambaye utajiri wake ni $13 billion. Vile vile Utajiri wa Dangote unazidi kuongezeka, anajenga viwanda vya cement, karibu nchi 10 za afrika sasa, yeye ni biggest african investor in south afrika.
Uzuri wa huyu jamaa, anaweka pesa zake afrika, tru pan africanist!