Hahaha hatoelewa kama hapa unampa exopozha, atataka expozha na hela teh
Hahaha mama x-pozha umepamiss Parii ghafla eeh
Nice one!
Hapo penye François, smart of him, amekosha vizuri Africa nzima.
Mambo haya, Heaven Sent mwambie atoto AJE!
mnanitingisha mjue,nakariri kifaransa mie.Hahaha hatoelewa kama hapa unampa exopozha, atataka expozha na hela teh
Hahaha mama x-pozha umepamiss Parii ghafla eeh
Mmh usije tu ukatukana, lugha za watu hizo sio kijaluomnanitingisha mjue,nakariri kifaransa mie.
X-pozha babyyyyynikishindwa naomba msaada wa kui
nikishindwa naomba msaada wa kui
X-pozha babyyyyy
Hahaha Muombe tena labda atakuonea huruma. Mwenzio atoto ana nyota, kaahidiwa digriiUmenikumbusha rafiki yake atoto
Yule Nyani Ngabu, basi nkamuomba namba Mwenzangu, bichwa kanishushwa shuuu!
hahahaaaaa!! humo humo hadi kieleweke, hakuna alozaliwa na lugha.Mh!, atoto wewe tusije tukana watu tu kwa kuweka maneno pasipo...lol!
Tukinyukwa tumwite Heaven Sent atuombee tupone haraka.
Niwaombee ili iweje? Yani mkinyukwa ndo ntachochea mpewe nakozi vizuriMh!, atoto wewe tusije tukana watu tu kwa kuweka maneno pasipo...lol!
Tukinyukwa tumwite Heaven Sent atuombee tupone haraka.
Mmh tutashushuliwa hadi kiranga kituisheItabidi tu, tufanye party tumualike atoto Aje na hao rafiki zake
Niwaombee ili iweje? Yani mkinyukwa ndo ntachochea mpewe nakozi vizuri
ni nakozi tu
Acha hizo bhana!
Umenikumbusha rafiki yake atoto
Yule Nyani Ngabu wa usa baby, basi nkamuomba namba Mwenzangu, bichwa kanishushwa shuu!