Alikiba Afunguka kuhusu tuzo za Afrimma, asema pesa nyingi zilitumika kupambana nae..!

Davido ilimbidi Ku promote ile kazi maana ni yake Davido ft olamide inaitwa money na Davido kapotezwa ktk iyo track kwa mtazamo wng

Sikuimanisha hyo ngoma mkuu,nilimaanisha ile post ya Davido kuhusu promo ya album ya Olamide.Point yangu kuu ni kwamba Davido hakuonesha kinyongo kwa mwenzie kushinda.
 
naona ulikuwa unavumilia lakini umeshindwa ukaamua kuniita, mimi mbona nilishaachana na habari za kiba, diamond tangu wakati wa kampeni au ulijua natania

Hahaaaaaa hizi timu ushuzi zimebaki zilipendwa tu aisee tangia campaign nilizika kabisa uu ujinga aisee
 
Sikuimanisha hyo ngoma mkuu,nilimaanisha ile post ya Davido kuhusu promo ya album ya Olamide.Point yangu kuu ni kwamba Davido hakuonesha kinyongo kwa mwenzie kushinda.

Davido na olamide ni mabest sana tu..! afu davido hizo tuzo kashabeba sana kwahiyo sio mbaya akikosa haimuumizi kama ilivyo kwa wizkid ila ikiwa hujawai kupata hata siku moja na ndio ulibahatisha tu kuwa nominated ndio yanakukuta kama ya alikiba alijuwa maandazi yale wanagawagawa tu..
 
Kumbukeni tiGo concert show Platnumz bin chief wasafi alizomewa sana,Ila kuna kasongi kao na ney wa mitego alisema
"Mimi ni mti wa matunda milele siogopi kupigwa mawe."
Ndo Leo yadhihirika wazi chuki chuki kibao kwa TheWorldWideAct-Baba yake Tipha.
 
Hivi kuna watu ni mashabiki wa mtu mpuuzi kma huyu..

Km alihisi anamtukan Diamond nahisi kasahau kwamb anawaaibisha hata waandaaji wenyew pamoja na wasanii wengine walioshinda..

BTW hivi Diamond ana hela sana kushijda kina Davido, Wizkid mpk anunue tuzo hiz, na km ananunuaga kilimshinda nin kununua za KTMA!

Msaada wa kisaikolojia unahitajika kwa huyu msanii. Serious!
 
Davido ilimbidi Ku promote ile kazi maana ni yake Davido ft olamide inaitwa money na Davido kapotezwa ktk iyo track kwa mtazamo wng

Sikuimanisha hyo ngoma mkuu,nilimaanisha ile post ya Davido kuhusu promo ya album ya Olamide.Point yangu kuu ni kwamba Davido hakuonesha kinyongo kwa mwenzie kushinda.
 
Hivi kuna watu ni mashabiki wa mtu mpuuzi kma huyu..

Km alihisi anamtukan Diamond nahisi kasahau kwamb anawaaibisha hata waandaaji wenyew pamoja na wasanii wengine walioshinda..

BTW hivi Diamond ana hela sana kushijda kina Davido, Wizkid mpk anunue tuzo hiz, na km ananunuaga kilimshinda nin kununua za KTMA!

Msaada wa kisaikolojia unahitajika kwa huyu msanii. Serious!

Hata akina davido wakiambiwa habari ka hizi lazima ashangae.
 
Nimesikia hiki kijamaa kinasema yale maneno ilikuwa kwaajili ya mashabiki zake kwamba wanapoteza pesa kumpigia kura hahahaha hivi inaingia akilini kweli??

Yani alivyopost ujinga ule alikuwa anatafuta huruma ya mashabiki kwamba anahujumiwa kumbe kaingia choo cha kike

+kama anasema amegundua watu wanapoteza pesa kumpigia kura siku zote alikuwa anajuwa bando zinatolewa bure???

+Kukaa kwenye muziki zaidi ya miaka kumi leo ndio anagundua watu wanapoteza pesa kumpigia kura asigundue kwenye tuzo za pombe ambazo kila sms huwa inagharimu pesa taslim na sio kifurushi

LAZIMA WANYOOKE

Siku ya Jumatatu Nov.16 Muimbaji huyo wa single mpya ?Nagharamia? aliandika, ?Asanteni sana najua mmepiga kura sana lakini nilikuja kugundua baada ya kufuatilia kuwa kuna mambo yanaendelea ya watu wanadiriki hata kupoteza pesa zao kwaajili yangu ila nawaomba fans msinielewe vibaya I will always be there for you #hapakazitu #kingkiba,? post ambayo baadae aliifuta.

Kupitia kipindi cha Ala Za Roho cha Clouds Fm na Diva The Bawse, king Kiba amesema kuwa watu walimuelewa vibaya kwenye post hiyo na ndio sababu kubwa ya kuamua kuifuta,

?watu walinielewa vibaya mimi nilikua nawaambia mafans wangu, sababu wao ndo wananipigia Kura mimi sikumaanisha kuhusu tuzo walinielewa vibaya? alisema Kiba.

Hata hivyo licha ya kwamba yeye hakushinda kipengele hata kimoja kati ya vinne alivyotajwa kuwania kwenye tuzo za AFRIMA 2015, lakini hakumpongeza hata msanii mmoja wa Tanzania aliyeshinda ambao ni Diamond na Vanessa Mdee. Kusuhu hilo Alikiba alisema,

?Siwezi ku-post kitu kuhusu Kushinda Kwao, unajua hakuna uzalendo. watu wangapi wanafanya Vitu vizuri hawapongezwi? Mimi nafanya vingapi? Sisi sio wazalendo?Unajua watu mimi hawanijui Wanahisi kama mimi nina ringa hivi au nina wivu, ila mimi nawapenda wasanii wote pia mziki mzuri? alisema Alikiba.

Alipoulizwa kuhusu uhusiano wake na Diamond ukoje kwa sasa, ndipo alimpongeza Platnumz kwa ushindi wa tuzo 3.

?Mimi sina tatizo na Diamond, nasikia kashida tuzo 3, nampongeza Sana sababu tumepata mtu ambaye anatutambulisha kimataifa ni Kitu poa Sana?Mimi na Diamond we are good? alimaliza Alikiba.

#Bongo5
 
Kiba alifanya makosa sana kurudi kwenye game kwa kutumia kivuli cha Diamond

To be honest ana wakati mgumu sana kwa wapenzi wake kuwaridhisha kwamba amekuja kufuta vumbi kiti chake ili hali Chibu anazidi kupaa
 
Sikuimanisha hyo ngoma mkuu,nilimaanisha ile post ya Davido kuhusu promo ya album ya Olamide.Point yangu kuu ni kwamba Davido hakuonesha kinyongo kwa mwenzie kushinda.

Mkuu album ya olamide ya lini.? Olamide mbona hajatoa album
 
Sikuimanisha hyo ngoma mkuu,nilimaanisha ile post ya Davido kuhusu promo ya album ya Olamide.Point yangu kuu ni kwamba Davido hakuonesha kinyongo kwa mwenzie kushinda.

Davido ft Olamide - Money

Na huo nimeona mwimbo Olamide kashusha pia.
 
10 years in the Music business still acting like an amateur...'shame'...... Diamond has only six years but he acts as a Pro... stop comparing him with amateurs
 
Back
Top Bottom