Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
Tangu walipoonekana Zimbabwe, 1994, pale Ariel school in Ruwa hawa jamaa hawakuwahi kurudi tena.
View: https://youtu.be/axKevbEkDuE?si=zx3g5CeqjG4qPYJ4
Jamaa walishangaa ni jinsi gani less productive, less innovative na ill-minded watu walivyokuwa.
Walishangaa kuona mijitu ina ardhi kubwa isio na kitu huku priority yao kubwa kubishania na kuenzi dini walizoletewa na kwenda ugeni wa ngoma za jadi na harusi za kuongeza wake wapya.
Sisemi haya kwa ku-label aliens kwamba ni viumbe special sana ila naandika ukata walioukuta hadi wao kutorudi tena huku wakionekana sana sehemu za nchi zilizoendelea kiuchumi na teknolojia
View: https://youtu.be/3RlbqOl_4NA?si=wUJB_JUv-4kV_5Fz
View: https://youtu.be/axKevbEkDuE?si=zx3g5CeqjG4qPYJ4
Jamaa walishangaa ni jinsi gani less productive, less innovative na ill-minded watu walivyokuwa.
Walishangaa kuona mijitu ina ardhi kubwa isio na kitu huku priority yao kubwa kubishania na kuenzi dini walizoletewa na kwenda ugeni wa ngoma za jadi na harusi za kuongeza wake wapya.
Sisemi haya kwa ku-label aliens kwamba ni viumbe special sana ila naandika ukata walioukuta hadi wao kutorudi tena huku wakionekana sana sehemu za nchi zilizoendelea kiuchumi na teknolojia
View: https://youtu.be/3RlbqOl_4NA?si=wUJB_JUv-4kV_5Fz