Alichofanyiwa Zitto ndani ya CHADEMA: Akili ndogo inatawala akili kubwa

mkuu rudi tu kule nyumbani kwetu jlw maana huku utafungwa bure

mkuu toka nijiunge jf sijawahi kufungwa kwani katika watu wanaoweza kujidhibiti na kufuata sheria za jf mimi pia ni mmoja wapo.usijali tupo pamoja na humu ndiyo nilipoanzia , baadae ndiyo nikahamia kule kwingine.
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!!! Nyie MACCM mbona mnatokwa na mapovu hivyo!? Maamuzi yafanywe ndani ya CHADEMA mapovu mtokwe nyie!? Ni aje MACCM!? Kama mnamuona wa maana kiasi hicho si mumpe ukatibu Mkuu B ndani ya chama chenu kabla hajamfuata rafiki yake Kafulila kule NCCR!?

Kwa jinsi mnavyotokwa na mapovu inaonyesha ni kiasi gani mlikuwa mnafaidika na yeye kuwepo ndani ya CHADEMA na katika nafasi za juu za uongozi. Sasa siri za ndani ya CHADEMA hamtazipata kamwe.

Chama chochote cha siasa kilichokomaa huweza kuchukua maamuzi magumu ambayo hayakutegemewa na wengi bila kujali athari zake. Mlidhani Viongozi wa juu ndani ya CHADEMA hawawezi kufanya uamuzi walioufanya sasa imekula kwenu na inaelekea mliwekeza sana ili kupata ya ndani kabisa toka CHADEMA, maana haingii akilini hizi kelele mnazozipiga kupinga maamuzi ya chama ambacho hakiwahusu kwa lolote lile. Sijawahi kuona MACCM yakitokwa mapovu kiasi hiki!!! Dah!!!!

Nyie kwenu kule kamwe hamuwezi kuthubutu kumvua yeyote uongozi wa juu maana kila mtu ni mchafu wa kupindukia hana moral authority ya kumnyooshea kidole mwenzake na kumwambia hapa umevurunda kupita kiasi kwa hiyo uongozi wa juu ndani ya chama umeamua kukuvua wadhifa wako na pia kukufukuza kama mwanachama. Ndiyo sababu kubwa ndani ya chama chenu kuna wauza unga, mafisadi akina Mkapa, Lowassa walionunua Urais kwa mabilioni 2005, mafisadi wa rada, EPA, majangili na kila mazagazaga mabaya yote ndani ya nchi yetu yamekumbatiwa ndani ya chama chenu kilichokosa muelekeo.

Wanachadema popote pale mlipo tembeeni vifua mbele kufurahia ukomavu mkubwa ulionyeshwa na Viongozi wa CHADEMA kuchukua maamuzi magumu kama haya. Wameyavumilia mengi na kwa miaka mingi lakini uvumilivu una mwisho wake ndio maana wamesema sasa basi imetosha ni lazima turudishe mshikamano na heshima katika chame chetu kwa faida ya wanachadema wote, viongozi wao na pia kwa faida ya Tanzania na Watanzania. Ndani ya CHADEMA siku zote akili kubwa hutawala akili ndogo tofauti na MACCM, "Sasa tunalivua gamba" Ooh!! hatulivui tena...hatukusema hivyo...kauli ile mliitafsiri vibaya kwi kwi kwi kwi CCM MULUGO na Serikali MULUGO.

CHADEMA Oyeeee!!! Oyeeee!!! Peopleeeeez!!!! Pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa


Alutta continua!!! continua!!!!


:peace::peace::peace:

Ahsante.....Umemaliza kila kitu...
 
Sasa mashambulizi Chadema yatakayo yafanya ni hatari...Stay tuned....Wale wa mabomu kaandani kabisa...Maana ni hatari kabisa....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mwigulu,
Ningekushauri umshauri huyo mwenye so called "akili kubwa" ahamie huko kwenu kwa wenye akili kubwa. Ujinga wote uliokuwa unafanyika kwenye conference rooms za hoteli tofauti na bidhaa yenu ndiyo imemfikisha hapo. Mkaribisheni kwenye chama chenu with customized membership card.
 
hadi mwigulu umejitokeza kumtetea swaiba? na bado mtatoka wote mafichoni.......... namsubiri jamaa wa bange....!
 
Napita tuu jamani maana ninakosa comment.etii aliyofanya ni madogo kuliko mchango?what kind of a question is this? Sku ukigundua kuwa ulikua unaishi na mke msaliti all that while utamkombaymtiaa tuu eti kisa amekuzalia vidume kumi?au uta doubt ata kama hao watoto wote ni wako?puzzled aisee
 
images

Kuvuliwa vyeo kwa Zitto Zuberi Kabwe na Dr Kitila Mkumbo kutakuwa na visingio vingi, ukweli ni kwamba
"NDANI YA CHADEMA AKILI NDOGO INATAWALA AKILI KUBWA" It is natural kwamba akili ndogo ikitawala akili kubwa,
1) Yatatumika mabavu na nguvu nyingi kuizuia akili kubwa kupanda juu,
2) Zitatafutwa sababu nyingi na visingizio uchwara kuhalalisha kuizima akili kubwa tofauti na vigezo vya hoja kwakuwa akili ndogo haiwezi kuizidi akili kubwa kwa hoja,
3) Hutumika vitisho vingi kuzuia akili kubwa kuchukua hadhi yake
4) Akili ndogo ni rafiki wa akili ndogo mwenzake, hivyo akili ndogo huzungukwa na akili ndogo kwakuwa ushauri wa akili kubwa akili ndogo hushindwa kutumia ama kushindwa kuonesha umiliki mbele za watu. Kwenye chadema wenye akili wote wako nje ya uzio wa chemichemi ya mawazo.

Pale bungeni watu wanaoweza kufundisha na waliokuwa wakifundisha hata unaibu waziri kivuli hawapati kwakuwa wanatumia akili zaidi badala ya nguvu.

Lakini walioishia kidato cha kwanza, pili, tatu na zero ndio think tanks na ndio majembe ya chadema kwakuwa wanatumia mabavu na manguvu zaidi kuliko akili sawasawa na matakwa mahitaji ya akili ndogo inayoongoza akili kubwa.

Vijana wahitimu wa vyuo wanaopenda siasa waliandikiwa barua kuwazuia kuhutubia mkutano wowote wa hadhara sawasawa na matakwa ya akili ndogo inapotawala akili kubwa. Zito, Kitila, Christowaja, Matiko, Opulukwa, Baregu, Leticia, Selasini, Arfi, Akunay, Naste wengi wao MA holders kwa chadema ni rejects. Ukiwa mwanafamilia au ukoo au kazi au wito maalum wa viongozi ndio utakwepo kwenye list.

I know Zitto tangu tukiwa chuoni, he is a brilliant and consistent politician, namjua Dr Kitila tangu chuoni, he is resourceful. Hivi kosa walilofanya ni kubwa kuliko mchango wao waliofanya kwenye kuwajenga watanzania kuwaamini vijana kwenye siasa? Je kosa lao ni kubwa kuliko mchango wao unavyohitajika? Vijana tuko kazini na wakati huohuo tuko mafunzoni.

Sio adhabu nzuri ya kuwafukuza ama kuwaondoa kwenye fursa ya kujifunza zaidi.
Haya ndio madhara ya AKILI NDOGO KUTAWALA AKILI KUBWA, HOFU NDIO HUTAWALA



CCM imelaaniwa hilo liko wazi, na wewe sijue vipi? umelaaniwa pia?
 
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
Zitto alitengeneza mtandao wake wa siri unaoelezwa hapa. Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo huu hapa

Lengo la mtandao huo ni Zitto KUWA MWENYEKITI WA CHADEMA.

Lengo hilo si baya, lakini namna ya kulifikia, ilikuwa ni kwa gharama yoyote hata kama CHAMA kitavurugika.

Zitto alipata support kubwa toka CCM na hata hapa JF CHAMVIGA, ZeMarcopolo, FaizaFoxy, Chabruma, Simiyu Yetu, Shelui, Mwigulu Nchemba, Taswira, MwanaDiwani, Ritz, TandaleOne n.k. walikuwa wanashambulia CHADEMA huku wakimlinda Zitto kwa nguvu zao zote. Baadhi ya dhihaka waliyokuwa wakiitupia Chadema.


  1. Chadema hawana ubavu wa kumgusa Zitto, wakimgusa tu wamekwisha!
  2. Chadema wanawashughulikia tu vidagaa, hebu kama wana ujasiri wamguse Zitto!
  3. Viongozi wa Chadema hawana ubavu wa kumfukuza Zitto au Shibuda.
  4. Zitto ndiye nguzo ndani ya Chadema wakimgusa tu chama kinasambaratika.
  5. Vijana wengi wanaokiunga mkono Chadema ni kwa sababu ya Zitto.
  6. Sasa hawa Chadema kama hawampendi Zitto si wamfukuze waone kitakachofuata.
  7. Umaarufu wa Chadema umetokana na jitihada za Zitto.
  8. Mbowe na Slaa si chochote, si lolote kwa kijana Zitto.
  9. Siku Zitto akiondoka Chadema tu na Chadema inakufa.
  10. Zitto ni zaidi ya Chadema.

Sasa Zitto kavuliwa uongozi CHADEMA, na ndani ya siku 14 atafukuzwa CHADEMA.

Zitto akihamia CCM atasaidia sana kuimarisha CCM Kigoma, ambapo kati ya majimbo 8 CCM iliambulia majimbo matatu tu tena kwa mbinde sana. Bila shaka CCM watampokea kwa kuwa wanapenda kurudisha viti hivyo vitano mkoani Kigoma.

Zitto ni kiongozi mwenye karama kubwa na mvuto kwa jamii, na akihamia CCM atapenda, kama ambavyo alipenda akiwa CHADEMA, karama hiyo yake aitumie kufikia kwenye nafasi za UONGOZI WA JUU KABISA. Uenyekiti wa CCM.

Wanaounga mkono CCM humu jamvini CHAMVIGA, ZeMarcopolo, FaizaFoxy, Chabruma, Simiyu Yetu, Shelui, Mwigulu Nchemba,Taswira, MwanaDiwani, Ritz, TandaleOne waliamini kuwa Zitto alikuwa sahihi kufanya aliyoyafanya kwa namna alivyofanya akiwa CHADEMA.

Bila shaka watampa ushirikiano kuyafanya hayo hayo, ndani ya CCM kwa kutumia namna hizo hizo.
CCM, Zitto yuko mlangoni anabisha hodi, anataka kuingia, mkaribisheni. Lakini hataki kufikia sebuleni tu, anataka mpaka ndani kabisa, kwenye KITI cha Mwenyekiti wa CCM. Anaomba mumpe ushirikiano na mvumilie mbinu zote atakazotumia kufikia azma yake.
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!!! Nyie MACCM mbona mnatokwa na mapovu hivyo!? Maamuzi yafanywe ndani ya CHADEMA mapovu mtokwe nyie!? Ni aje MACCM!? Kama mnamuona wa maana kiasi hicho si mumpe ukatibu Mkuu B ndani ya chama chenu kabla hajamfuata rafiki yake Kafulila kule NCCR!?

Kwa jinsi mnavyotokwa na mapovu inaonyesha ni kiasi gani mlikuwa mnafaidika na yeye kuwepo ndani ya CHADEMA na katika nafasi za juu za uongozi. Sasa siri za ndani ya CHADEMA hamtazipata kamwe.
:rip:

Chama chochote cha siasa kilichokomaa huweza kuchukua maamuzi magumu ambayo hayakutegemewa na wengi bila kujali athari zake. Mlidhani Viongozi wa juu ndani ya CHADEMA hawawezi kufanya uamuzi walioufanya sasa imekula kwenu na inaelekea mliwekeza sana ili kupata ya ndani kabisa toka CHADEMA, maana haingii akilini hizi kelele mnazozipiga kupinga maamuzi ya chama ambacho hakiwahusu kwa lolote lile. Sijawahi kuona MACCM yakitokwa mapovu kiasi hiki!!! Dah!!!!

Nyie kwenu kule kamwe hamuwezi kuthubutu kumvua yeyote uongozi wa juu maana kila mtu ni mchafu wa kupindukia hana moral authority ya kumnyooshea kidole mwenzake na kumwambia hapa umevurunda kupita kiasi kwa hiyo uongozi wa juu ndani ya chama umeamua kukuvua wadhifa wako na pia kukufukuza kama mwanachama. Ndiyo sababu kubwa ndani ya chama chenu kuna wauza unga, mafisadi akina Mkapa, Lowassa walionunua Urais kwa mabilioni 2005, mafisadi wa rada, EPA, majangili na kila mazagazaga mabaya yote ndani ya nchi yetu yamekumbatiwa ndani ya chama chenu kilichokosa muelekeo.

Wanachadema popote pale mlipo tembeeni vifua mbele kufurahia ukomavu mkubwa ulionyeshwa na Viongozi wa CHADEMA kuchukua maamuzi magumu kama haya. Wameyavumilia mengi na kwa miaka mingi lakini uvumilivu una mwisho wake ndio maana wamesema sasa basi imetosha ni lazima turudishe mshikamano na heshima katika chame chetu kwa faida ya wanachadema wote, viongozi wao na pia kwa faida ya Tanzania na Watanzania. Ndani ya CHADEMA siku zote akili kubwa hutawala akili ndogo tofauti na MACCM, "Sasa tunalivua gamba" Ooh!! hatulivui tena...hatukusema hivyo...kauli ile mliitafsiri vibaya kwi kwi kwi kwi CCM MULUGO na Serikali MULUGO.

CHADEMA Oyeeee!!! Oyeeee!!! Peopleeeeez!!!! Pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa


Alutta continua!!! continua!!!!


:peace::peace::peace:
Mkuu nakumbuka ulikula hadi BAN hapa Jf sababu ya sakata la hiki kirusi zzk. shusha mukari sasa.
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees!
:peace::peace::peace:
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Una akili nyingi kijana kula LIKE:boink:
Zitto alitengeneza mtandao wake wa siri unaoelezwa hapa. Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo huu hapa

Lengo la mtandao huo ni Zitto KUWA MWENYEKITI WA CHADEMA.

Lengo hilo si baya, lakini namna ya kulifikia, ilikuwa ni kwa gharama yoyote hata kama CHAMA kitavurugika.

Zitto alipata support kubwa toka CCM na hata hapa JF CHAMVIGA, ZeMarcopolo, FaizaFoxy, Chabruma, Simiyu Yetu, Shelui, Mwigulu Nchemba, Taswira, MwanaDiwani, Ritz, TandaleOne n.k. walikuwa wanashambulia CHADEMA huku wakimlinda Zitto kwa nguvu zao zote. Baadhi ya dhihaka waliyokuwa wakiitupia Chadema.


  1. Chadema hawana ubavu wa kumgusa Zitto, wakimgusa tu wamekwisha!
  2. Chadema wanawashughulikia tu vidagaa, hebu kama wana ujasiri wamguse Zitto!
  3. Viongozi wa Chadema hawana ubavu wa kumfukuza Zitto au Shibuda.
  4. Zitto ndiye nguzo ndani ya Chadema wakimgusa tu chama kinasambaratika.
  5. Vijana wengi wanaokiunga mkono Chadema ni kwa sababu ya Zitto.
  6. Sasa hawa Chadema kama hawampendi Zitto si wamfukuze waone kitakachofuata.
  7. Umaarufu wa Chadema umetokana na jitihada za Zitto.
  8. Mbowe na Slaa si chochote, si lolote kwa kijana Zitto.
  9. Siku Zitto akiondoka Chadema tu na Chadema inakufa.
  10. Zitto ni zaidi ya Chadema.

Sasa Zitto kavuliwa uongozi CHADEMA, na ndani ya siku 14 atafukuzwa CHADEMA.

Zitto akihamia CCM atasaidia sana kuimarisha CCM Kigoma, ambapo kati ya majimbo 8 CCM iliambulia majimbo matatu tu tena kwa mbinde sana. Bila shaka CCM watampokea kwa kuwa wanapenda kurudisha viti hivyo vitano mkoani Kigoma.

Zitto ni kiongozi mwenye karama kubwa na mvuto kwa jamii, na akihamia CCM atapenda, kama ambavyo alipenda akiwa CHADEMA, karama hiyo yake aitumie kufikia kwenye nafasi za UONGOZI WA JUU KABISA. Uenyekiti wa CCM.

Wanaounga mkono CCM humu jamvini CHAMVIGA, ZeMarcopolo, FaizaFoxy, Chabruma, Simiyu Yetu, Shelui, Mwigulu Nchemba,Taswira, MwanaDiwani, Ritz, TandaleOne waliamini kuwa Zitto alikuwa sahihi kufanya aliyoyafanya kwa namna alivyofanya akiwa CHADEMA.

Bila shaka watampa ushirikiano kuyafanya hayo hayo, ndani ya CCM kwa kutumia namna hizo hizo.
CCM, Zitto yuko mlangoni anabisha hodi, anataka kuingia, mkaribisheni. Lakini hataki kufikia sebuleni tu, anataka mpaka ndani kabisa, kwenye KITI cha Mwenyekiti wa CCM. Anaomba mumpe ushirikiano na mvumilie mbinu zote atakazotumia kufikia azma yake.
 
tusubiri majibu mepesi ya zito kwenye amplifier na miladi ayo, ATAPEWA UENYEKITI WA CCM KIGOMA KUMPOZA MCHUNGU, MNAFIKI MKUBWA, YUDA ALIMSALITI YESU , MCHEZO WA MWISHO ALIJINYONGA ;the saddest thing about betrayal it never come from your enemy
 
Sina munkari Mkuu ila nashangazwa sana na haya mapovu chungu nzima wanayoyatoa MACCM, siwaelewi kabisa kusema kweli.

Mkuu nakumbuka ulikula hadi BAN hapa Jf sababu ya sakata la hiki kirusi zzk. shusha mukari sasa.
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees!
:peace::peace::peace:
 
Mwigulu nadhani umepotoka kwa ulichopost.
umeshaambiwa walikiri wenyewe kuhusika na wakaomba msamaha na kutaka kujiuzulu
lakini chama kikawavua nyadhifa zao ili wakalie na kusaga meno badala ya kutoka kifua mbele
kazi mliyomtumza Zito na vibaraka wake wameshindwa kuimaliza
na adhabu ya mtu anaetumwa akashindwa mnaijua wenyewe.......
kazi kweli kweli..zile fedha za CRDB mlizomtumia na zile alizopokea German zimeisha
sasa hata kamati kuu hataingia tena, awarudishie fedha zenu...
 
MWINGULU; Sikutegemea hata kidogo wewe kwa nafasi yako kujitokeza na kusema lolote katika swala hili.Nadhani ulidhani utajipatia umaarufu lakini inaonekana kinyume chake.Kuna wakati kunyamaza ni BUSARA kuliko kukurupuka na kuandika bila kutafakari unachokiandika.Umeonesha jinsi nawewe ulivyo MVIVU waa kufikiri..

CDM chama makini na muda sio mrefu utalitambua hili




Mwigulu nadhani umepotoka kwa ulichopost.
umeshaambiwa walikiri wenyewe kuhusika na wakaomba msamaha na kutaka kujiuzulu
lakini chama kikawavua nyadhifa zao ili wakalie na kusaga meno badala ya kutoka kifua mbele
kazi mliyomtumza Zito na vibaraka wake wameshindwa kuimaliza
na adhabu ya mtu anaetumwa akashindwa mnaijua wenyewe.......
kazi kweli kweli..zile fedha za CRDB mlizomtumia na zile alizopokea German zimeisha
sasa hata kamati kuu hataingia tena, awarudishie fedha zenu...
meon
 
images

Kuvuliwa vyeo kwa Zitto Zuberi Kabwe na Dr Kitila Mkumbo kutakuwa na visingio vingi, ukweli ni kwamba
"NDANI YA CHADEMA AKILI NDOGO INATAWALA AKILI KUBWA" It is natural kwamba akili ndogo ikitawala akili kubwa,
1) Yatatumika mabavu na nguvu nyingi kuizuia akili kubwa kupanda juu,
2) Zitatafutwa sababu nyingi na visingizio uchwara kuhalalisha kuizima akili kubwa tofauti na vigezo vya hoja kwakuwa akili ndogo haiwezi kuizidi akili kubwa kwa hoja,
3) Hutumika vitisho vingi kuzuia akili kubwa kuchukua hadhi yake
4) Akili ndogo ni rafiki wa akili ndogo mwenzake, hivyo akili ndogo huzungukwa na akili ndogo kwakuwa ushauri wa akili kubwa akili ndogo hushindwa kutumia ama kushindwa kuonesha umiliki mbele za watu. Kwenye chadema wenye akili wote wako nje ya uzio wa chemichemi ya mawazo.

Pale bungeni watu wanaoweza kufundisha na waliokuwa wakifundisha hata unaibu waziri kivuli hawapati kwakuwa wanatumia akili zaidi badala ya nguvu.

Lakini walioishia kidato cha kwanza, pili, tatu na zero ndio think tanks na ndio majembe ya chadema kwakuwa wanatumia mabavu na manguvu zaidi kuliko akili sawasawa na matakwa mahitaji ya akili ndogo inayoongoza akili kubwa.

Vijana wahitimu wa vyuo wanaopenda siasa waliandikiwa barua kuwazuia kuhutubia mkutano wowote wa hadhara sawasawa na matakwa ya akili ndogo inapotawala akili kubwa. Zito, Kitila, Christowaja, Matiko, Opulukwa, Baregu, Leticia, Selasini, Arfi, Akunay, Naste wengi wao MA holders kwa chadema ni rejects. Ukiwa mwanafamilia au ukoo au kazi au wito maalum wa viongozi ndio utakwepo kwenye list.

I know Zitto tangu tukiwa chuoni, he is a brilliant and consistent politician, namjua Dr Kitila tangu chuoni, he is resourceful. Hivi kosa walilofanya ni kubwa kuliko mchango wao waliofanya kwenye kuwajenga watanzania kuwaamini vijana kwenye siasa? Je kosa lao ni kubwa kuliko mchango wao unavyohitajika? Vijana tuko kazini na wakati huohuo tuko mafunzoni.

Sio adhabu nzuri ya kuwafukuza ama kuwaondoa kwenye fursa ya kujifunza zaidi.
Haya ndio madhara ya AKILI NDOGO KUTAWALA AKILI KUBWA, HOFU NDIO HUTAWALA

Mwigulu sikiliza kwa makini sana na ikumbuke ktk maisha yako yote:

Kwanini Uchumi ndio fani pekee iliyozalisha vichaa wengi ktk siasa kuliko bangi na vilevi vingine:

Anza na wewe,Zitto,Muhongo, Lipumba, ..wengine nawachia wachangiaji....wengine ni political Science pale mlimani.Cha kushngaza hizo fani hazipo hata ktk fani ngumu duniani.
 
Back
Top Bottom