Albert Msando na MwanaFA Wanastahili kuwa Wabunge 2020

Ni wazi kabisa wakili Msomi Msando anaweza kuwa na Msaada Mkubwa kwa Watu Wa Arusha Kuliko Makelele haya ya sasa.
Kwa msaada wa Kisheria na Kijamii naotoa kijana Huyu,CCM ikimsimamisha itapata Heshima kubwa sana.

Sambamba na Jimbo la Muheza/Handeni/Kawe ama Jimbo lolotea Mkoa wa Dar kwa MwanaFA Msanii Msomi vijana tutafurahi sana.

Sitashangaa wakiwa wabunge bunge Lijalo.
Kwako Mwalimu KashashaView attachment 1367444View attachment 1367445

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga ukipitiliza unakuwa upumbavu!
 
Sasa nakonect picha ndio maana nilishamuona maeneo tata kama Mara mbili moja Kuna siku niliongozana nae kutoka knyama makumbusho akaingia pale getini Yani alikunja kushoto akazama ndani ila hiyo sio hoja siku nyingine nilimuona kwenye gorofa za kitengo maeneo ya upanga karibu na mtaa wa mathuradas kwa juu Kuna kigorofa Cha vijana wa kitengo pale alikuwa anaonekana Sana mitaa hiyo Sasa kumbeeeee ha ha ha ha kweli katika anasa za show time niite thethe aliepanda treni kwa mbele ndio anajua mjini shule .....
We Mara mbili zote ulienda kufanya nn maeneo tata?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahaha watamkausha hela zake huyo hamis alafu watamwambia usijali bro we bado kijana akustaafu huyu mzee tunakupa wewe kikubwa tuendelee kuwasiliana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom