kijanamwingine
Member
- Apr 5, 2012
- 21
- 13
Naombeni mliopo karibu na vyanzo vya habari vya uhakika kama huyu kiongozi anayelazimisha kukubalika wakati hapendwi kama amefanikiwa kuingia katika ofisi za club ya Simba kariakoo na ilisemekana atatoa tamko,je kaingia na kama tamko limetoka linasemaje?