mpuuzi
Member
- May 29, 2010
- 99
- 17
Kijarida hiki wiki hii kimekuja na mpya mbili zinazoonyesha kumbe waislamu wanataka CUF ishinde.
1.Lipumba afunika msafara wa kikwete. Wanadai kuwa watu wengi hivi sasa wameelimika na wanahitaji mabadiliko ambapo hata hivyo wanaamini kuwa Lipumba kutokana na weledi wake anao uwezo wa mabadiliko.
2. Slaa atakwepaje usia wa POPE LEO XIII kwa maana eti pope huyo alitoa amri kwa wakatoliki kupiga kura kwa maslahi ya UKATOLIKI.
1.Lipumba afunika msafara wa kikwete. Wanadai kuwa watu wengi hivi sasa wameelimika na wanahitaji mabadiliko ambapo hata hivyo wanaamini kuwa Lipumba kutokana na weledi wake anao uwezo wa mabadiliko.
2. Slaa atakwepaje usia wa POPE LEO XIII kwa maana eti pope huyo alitoa amri kwa wakatoliki kupiga kura kwa maslahi ya UKATOLIKI.