Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 964
- 2,042
Anasema mshahara wa laki nane hawezi fanya KAZI, yeye ni millioni 5 na akionewa sana alipwe millioni 3.5
Huyo sio mwanafunzi ni kurumbembe limevalishwa sale Sasa wewe jichanganye.
HeheheheKuna watu walijipangia mpaka mahari zao. Kilichotokea sasa...
DaaHata kudanga huwa wengi wanaishia kupata wa kuwalipa elfu 20 tena wao hawapatikani kila siku.
Huyo anahisi nadharia za kwenye makaratasi na uhalisia ni sawa.
Nchi hii kama ni serikalini, kwa anayeanza kazi sijawahi sikia kama kuna kada inalipa kuanzia milioni 5, labda mniambie leo.
Wengi wanaolia lia mtaani huku wakijiita wasomi shida kuu ilikuwa inaendana na hiyo, wanachagua kazi wakati maisha halisi hayataki hivyo.
Kama sio mtoto wa mboga saba amezaliwa pangu pakavu tia mchuzi, baada ya miaka 4 tangu ahitimu chuo atatamani apate japo hata kazi ya malipo chakula, kodi na bundle la kuingilia JF pekee.
Content haina uhalisia ila hayo ndio matarajio ya wanachuo wengi wanapokuwa shuleniMnapenda kutafuta content kwa nguvu huyo sii binti kabisa either kidato cha 5 au 6 .Sasa wanamuuliza swali kama hilo wakitegemea watapata majibu sahihi
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Ni kweli kbsa wengi hayo ndo matarajioContent haina uhalisia ila hayo ndio matarajio ya wanachuo wengi wanapokuwa shuleni
Sema vi media uchwara wanapenda kutafuta content kwa nguvuMnapenda kutafuta content kwa nguvu huyo sii binti kabisa either kidato cha 5 au 6 .Sasa wanamuuliza swali kama hilo wakitegemea watapata majibu sahihi
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Anasema mshahara wa laki nane hawezi fanya KAZI ,yeye ni millioni 5 na akionewa sana alipwe millioni 3.5View attachment 2929985