Nina amini mafisadi wote wanatambulika na serikali yetu, itakuwa jambo la maana kama watachukuliwa hatua za kisheria ili haki itendeke kwa mtanzania. itakuwaje watu wachache wafaidike na familia zao wakati kuna kina mama na watoto wanakosa huduma za afya kwa serikali kukosa fedha kumbe ziko mikononi mwa watu wachache? Tumefikia hatua ya kusaidiwa hadi "neti za mbu"!
Kujivua magamba kwa chama tawala pekee haitoshi, hilo pia lifanyike kwenye serikali yake, ndio wananchi watarudisha imani na uongozi
Kujivua magamba kwa chama tawala pekee haitoshi, hilo pia lifanyike kwenye serikali yake, ndio wananchi watarudisha imani na uongozi