Nickson Swai
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 548
- 475
Kazi za siku hizi ni kujuana na wapo watu hawana sifa ila sababu ya udini,ukabila unakuta mtu hana sifa ila sababu anatoka Kijiji kimoja na bosi
Una qualifications zipiKazi za siku hizi ni kujuana na wapo watu hawana sifa ila sababu ya udini,ukabila unakuta mtu hana sifa ila sababu anatoka Kijiji kimoja na bosi
Kwani uwalimu mkuu unasomewa?Mimi ni mwalimu mkuu lakini nimezunguka mpaka nimechoka
Sijamanisha mwalimu mkuu bali nilipomjibu huyo mtu hapo juu nikasema mkuu kama ambavyo tunatumiaKwani uwalimu mkuu unasomewa?
Aisee Nimekuelewa MkuuSijamanisha mwalimu mkuu bali nilipomjibu huyo mtu hapo juu nikasema mkuu kama ambavyo tunatumia
Walimu wa Kufundisha Shule ya Msingi Wanahitajika - JamiiForumsKazi za siku hizi ni kujuana na wapo watu hawana sifa ila sababu ya udini,ukabila unakuta mtu hana sifa ila sababu anatoka Kijiji kimoja na bosi