Naomba kuuliza hivi hawa wageni hupata pata vipi ruhusa za kufanya kazi nchini?
Tanzania kwa sasa imejaa watasha na wachina. Ajabu wote hawaongei lugha ya nchi
na wachina wengine hata kiingilishi kinawapiga chenga. nataka kujua ni nani mwenye
majukumu ya kutowa ruhusa na kuishi na kufanya kazi kwa wageni hawa? Kuna kazi
tele ambazo wazawa wanaweza kuzifanya lakini zimekwenda kwa watasha, why?
Tanzania kwa sasa imejaa watasha na wachina. Ajabu wote hawaongei lugha ya nchi
na wachina wengine hata kiingilishi kinawapiga chenga. nataka kujua ni nani mwenye
majukumu ya kutowa ruhusa na kuishi na kufanya kazi kwa wageni hawa? Kuna kazi
tele ambazo wazawa wanaweza kuzifanya lakini zimekwenda kwa watasha, why?