rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
kasumba ya kuajiri wageni hasa kutoka kenya naomba iangaliwe kwa makini,
tukumbuke tuna wasomi wanagraduate kila mwaka,kama muungano wa africa mashariki unakuja na hasara
kwa watanzania kiasi hiki basi tumekwisha,
ukitembelea makampuni makubwa hasa ya kutoka nje na mengine ya ndugu zetu watanzania
wanapendelea kuajiri wakenya eti kwa sababu wanajua kiingereza
nina imani kila mahali kuna mkuu wa wilaya na watendaji wao lakini wanapuuza hili jambo,
kama watanzania hatuna ujuzi tuna haki ya kufunzwa ili tupate ujuzi unaotakiwa,
kwa watanzania wenzetu wanaofanya hivyo naomba waache hiyo kasumba kwani sio uzalendo,
tukumbuke tuna wasomi wanagraduate kila mwaka,kama muungano wa africa mashariki unakuja na hasara
kwa watanzania kiasi hiki basi tumekwisha,
ukitembelea makampuni makubwa hasa ya kutoka nje na mengine ya ndugu zetu watanzania
wanapendelea kuajiri wakenya eti kwa sababu wanajua kiingereza
nina imani kila mahali kuna mkuu wa wilaya na watendaji wao lakini wanapuuza hili jambo,
kama watanzania hatuna ujuzi tuna haki ya kufunzwa ili tupate ujuzi unaotakiwa,
kwa watanzania wenzetu wanaofanya hivyo naomba waache hiyo kasumba kwani sio uzalendo,