G - The Apostle
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 424
- 684
Hapa mzani wa vigwaza Kuna ajali ya Tank la Mafuta, watu ni Wengi na madumu wanachota mafuta na hakuna Askari wa kuweka usalama au kuzuia.
Ushauri: Natoa taarifa mamlaka zichukue hatua mapema kuepusha maafa.
Nawasilisha.
Ushauri: Natoa taarifa mamlaka zichukue hatua mapema kuepusha maafa.
Nawasilisha.