mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Hebu taja eneo, maana hapa TZ ajali ni nyingi saana. Taarifa yako haijakamilika mkuu.View attachment 48751
Wakuu ajali hii inadaiwa kutokea March Mosi kwa basi hili kugongana uso kwa uso na gari ndogo. Kama kuna mwenye taarifa zaidi za mahali/eneo ajali ilitokea,if it was fatal nk. atujuze zaidi wanajamvi
Hebu taja eneo, maana hapa TZ ajali ni nyingi saana. Taarifa yako haijakamilika mkuu.